Chid Benz apelekwa Bagamoyo sober house

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,296
Meneja wa Diamond akishirikiana na Kalapina wamempeleka Chid Benz Life and Hope Rehabilitation Organization iliyopo Bagamoyo kwa ajili ya kusaidiwa kuacha marumizi ya dawa za kulevya
Babu-Tale-Chidi-Benz-na-Kalapina.jpg

hatua hiyo imekuja baada ya hivi karibuni rapa huyo kuomba msaada baada ya kuona ameshindwa kukabiliana na matatizo ya kiafya yanayomkabili
kupitia ukurasa wake wa Instagram Babutale ameandika

mwana amekubali kukaa soba ila anasisitiza wana mje kumtembelea kumpa pole na kuleta mapokopoko manjari. Mungu bariki hii safari ya matumaini
 
Meneja wa Diamond akishirikiana na Kalapina wamempeleka Chid Benz Life and Hope Rehabilitation Organization iliyopo Bagamoyo kwa ajili ya kusaidiwa kuacha marumizi ya dawa za kulevya
View attachment 331966
hatua hiyo imekuja baada ya hivi karibuni rapa huyo kuomba msaada baada ya kuona ameshindwa kukabiliana na matatizo ya kiafya yanayomkabili
kupitia ukurasa wake wa Instagram Babutale ameandika

mwana amekubali kukaa soba ila anasisitiza wana mje kumtembelea kumpa pole na kuleta mapokopoko manjari. Mungu bariki hii safari ya matumaini
tegeta ndo alikokuwa anatafunia hizo pouder zake
 
tunamuombea,
Ila tatizo hawa jamaa wakirudi kwenye hali zao huanza tena madude
Refer kwa kiuno bila mfupa
 
Mungu amsaidie apone na arudi kama mwanzo
Imposible haitakaa itokee akarudi afya yake ya mwanzo sahauuu na hayo ma matherdone ndiyo balaa yakisha kuwa addicted kwenye mwili huwezi tena kuyaacha ukiyaacha ndiyo mwisho mwisho wako wa kuishi!
 
Apone jamani napenda sauti yake akiimba sema ndio mbishi hataree
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom