Mbunge wa chinolwa mh chibulunje hatogombea tena ubng 2015 src eatv
chinolwa ni wap?
BTW hil jina ndo nalckia hapa...its no nws kwakwel coz it make no diff..!
Una Uhakika huyo BW MWAKA alikuwa anashinda?Huyu Mzee afadhari ameamua kupumzika kwani Mwaka kila mara wanapogombea huwa anamshinda ila CCM inamgeuzia kbaao.huyu wananchi wake walikuwa wanamsubiri kwa hamu kubwa hasa wa vijiji vya nzali, Mlimwa , dabaro, membe. segera n.k walikuwa wanamsubiri kwa hamukwa kushindwa kuwajegea daraja la uhakika kwenye bonde la Nyasungu hivyo kusababisha karaha kubwa kwao miaka 20 yote aliyoshikiria Jimbo hilo.
Una Uhakika huyo BW MWAKA alikuwa anashinda?
Maana km ni kweli mbona hakwenda mahakamani? au hata kulalamika Ngazi ya CCM Wilaya ya Chamwino.
Chibulunje asiwadanganye hatoweza acha kugombea
Mngewauliza walio kwenye CUT Apex
Kwa kifupi Bw Mwaka aliachwa kwa mbali na kwa upande wa maendeleo sijui mlitaka mpaka hela ziwekwe mifukoni au muwe sawa na Jimbo gani ambalo halina matatizo (Ubungo la Mnyika au Arusha Mjini la Lema au East Vunjo)
Mgawanyo wa fedha za Serikali haupishani wala haupewi kwa ajili ya Mbunge kupiga kelele
Chamwino mpaka Dabalo barabara ni nzuri, njia panda ya Kikombo mpaka Mvumi ni safi[/QUOTE
Labbda wewe si mwenyeji wa Chilonwa, kama ungekuwa mwenyeji ungejua kuwa mwaka 2000 Chibulunje alikuwa mshindi wa pili nyuma ya Mwaka KATIKA KURA ZA MAONI CCM mpaka ikamlazimu Mheshimiwa Mkapa aje kuomba radhi wana Chilonwa na siku ya Kwanza ya Kampeini ilibidi aje Chilonwa baada ya kuzindua Kampeini hizo Mvumi na kuwaomba radhi sana wana Chilonwa na kumtuliza mwaka kuwa bado kijana kwa hiyo CCM bado inamhitaji. Kama wewe ni Chibhulunje bisha hilo.
Huo wote ni Uongo, na huyo Mwaka mm nimekutana naye hajalalamika kuwa kaibiwaLabbda wewe si mwenyeji wa Chilonwa, kama ungekuwa mwenyeji ungejua kuwa mwaka 2000 Chibulunje alikuwa mshindi wa pili nyuma ya Mwaka KATIKA KURA ZA MAONI CCM mpaka ikamlazimu Mheshimiwa Mkapa aje kuomba radhi wana Chilonwa na siku ya Kwanza ya Kampeini ilibidi aje Chilonwa baada ya kuzindua Kampeini hizo Mvumi na kuwaomba radhi sana wana Chilonwa na kumtuliza mwaka kuwa bado kijana kwa hiyo CCM bado inamhitaji. Kama wewe ni Chibhulunje bisha hilo.
Hii ni tabia ya Mashabiki, hata Jimbo la Dododma, Mtera, Bahi kote ni lawama, maamuzi ni Idadi ya kura na Kamati ya Siasa iliamuaje. Kwa 2010 Matokea hayakubadilishwa mkoa wa Dodoma, tungemsikia kafikisha suala hilo NEC, CC
Ushauri mzuri mmepewa na BobukSasa kwanini huyo Mwaka aliendelea kubaki Magambani kama kweli alifahamu kwamba anapendwa na wana Chilonwa na yeye ana nia ya dhati ya kuwatumikia wana-Chilonwa?!
Mwaka naye ni opportunistic. Atalisikia kwenye bomba hilo jimbo kwani 2015 litakwenda CDM Mark my words