Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,578
- 28,701
Teh nmefurahi sana........umefurahi eeh
Mkuu jasho gani linatoka mitaa ya IKULU peke yake??mkuu sio mkojo ni jasho!
umefurah alivochezea kichapo au alivomwaga kojo?Teh nmefurahi sana........
May be ungefananisha na "BAO"just joking mkuu making a day go smoothly...
umefurah alivochezea kichapo au alivomwaga kojo?
alivyomwaga kojo.............
May be ungefananisha na "BAO"
Teh mkuu umesema kweli aisee...maana kwenye masaibu kama haya kadude huwa kanasinya balaa.....BAO mbele ya hao jamaa wenye sura ngumu kama limao litoke wapi ndo kwanza nanii kama normal size ni 5" ita-shrink hadi 2"!
Sipati picha huko nyuma!