Chezeya gesi ya Mtwara......

Chezeya gesi ya Mtwara......

KOKUTONA

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2011
Posts
8,651
Reaction score
6,109
Bibi wa MTWARA alikuwa anasumbuliwa na tumbo.

Majuzi akaenda hospitali, daktari akampima akamwambia bibi TUMBO LIMEJAA GESI, utafanyiwa upasuaji.

Bibi ghafla akatoka mbio akipiga mayowe, HII GESI YANGU NATAFUTA MWEKEZAJI mwenyewee, haipelekwi DAR ng'ooo. MUNGU ametujalia wana NTWALA gesi BAHARINI hadi MATUMBONI

Hapana chezeya wana Ntwara na gesi yao lol
 
Bibi wa MTWARA alikuwa anasumbuliwa na tumbo.Majuzi akaenda hospitali, daktari akampima akamwambia bibi TUMBO LIMEJAA GESI, utafanyiwa upasuaji.Bibi ghafla akatoka mbio akipiga mayowe, HII GESI YANGU NATAFUTA MWEKEZAJI mwenyewee, haipelekwi DAR ng'ooo. MUNGU ametujalia wana NTWALA gesi BAHARINI hadi MATUMBONIHapana chezeya wana Ntwara na gesi yao lol
geshi yetu haipelekwi Dar haki ya Mungu na Ntume
 
Hahahahaaaaaaa hiyooo balaaaa tupu KOKUTONA
Bibi wa MTWARA alikuwa anasumbuliwa na tumbo.

Majuzi akaenda hospitali, daktari akampima akamwambia bibi TUMBO LIMEJAA GESI, utafanyiwa upasuaji.

Bibi ghafla akatoka mbio akipiga mayowe, HII GESI YANGU NATAFUTA MWEKEZAJI mwenyewee, haipelekwi DAR ng'ooo. MUNGU ametujalia wana NTWALA gesi BAHARINI hadi MATUMBONI

Hapana chezeya wana Ntwara na gesi yao lol
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom