jamaa mmoja alikwenda kununua chips. baada ya muda zikawa tayari muuzaji akamuuliza tuweke nini na nini? jamaa akajibu tena kwa kujiamini chilitomato, muuzaji akaweka chill na tomato kisha akamkaribisha mteja wake, ghafla yule jamaa akahamaki na kumwambia muuza chips, we vipi bwana si nimekwambia "chilltomato"? kumbe jamaa alikuwa mmakonde aliposema"CHILLTOMATO" alimaanisha hali tomato.