chezea mmbongo wewe

chezea mmbongo wewe

chief72

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
627
Reaction score
309
m-bongo mmoja mweusi tiii, alitinga disco huko ulaya akiwa uchi wa mnyama,
wazungu walipomuona walivunjika sana mbavu
ila mzungu mmoja akamfuata m-bongo na kumwambia kaka umependeza sana ila tai umefungia chini mno
 
daah ndo tuseme Tai ndo mkwaju au?
Mbavu sina mkuu kwa kwa kwa!
 
Umenikumbusha story hii;
mtu mmoja alikuwa anakata gogo (aka kupoh/kujisaidia) porini akiwa uchi kabisa.
basi wanyama walipomwona huyo mtu walitimua akiwemo simba.
Basi sungura akamuuliza simba sababu ya yeye dimba (ambae ni mfalme) kukimbia.
simba akiwa anakimbia akajibu:
Tangu kuzaliwa kwanhu sijaona mnyama mwenye mkia mbele.
 
Sipatii picha hiyo dushelele ilivyokuwa ndefu mpaka wakailinganisha na tai
 
ebana leo nimecheka vitu viwili.
1.Tai umefunga chini.
2.Mkia mbele.

ha ha ha ha ha
 
Umenikumbusha story hii;
mtu mmoja alikuwa anakata gogo (aka kupoh/kujisaidia) porini akiwa uchi kabisa.
basi wanyama walipomwona huyo mtu walitimua akiwemo simba.
Basi sungura akamuuliza simba sababu ya yeye dimba (ambae ni mfalme) kukimbia.
simba akiwa anakimbia akajibu:
Tangu kuzaliwa kwanhu sijaona mnyama mwenye mkia mbele.
khaaahaaa............
hii ndio imetisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom