Jidulamabambase,Ng'wanangwa mlimhola? Mzee Cheyo naona ni uzee unamsumbua,better akapumzika sasa,after all chama chake sijui hata kama kina mkutano mkuu,au kamati kuu,maana sijawahi kusikia kupita media au kuambiwa na mtu kuwa kuna halmashauri,kamati kuu wala mkutano mkuu umefanyika.
Najua ni fadhila ya CCM tu na kwa magamba ina wasaidia kwao kuwagawa watu kipindi cha kupiga kura