Huyu mzee achana naye siku zake zi karibu , si amemwona mzee mwenzake alivyopewa heshima kwenye kifo chake ,naye anabembeleza hili itakapofika time apelekwe kule jubelee ,hivi huyumzee bado anazo akili
Mkuu haihitaji degree kujua alikuwa anashambulia CDM.Na ndiyo maana kila neno alilokuwa anatamka lilikuwa linashangiliwa kwa mayowe na wabunge wa CCM na CUF
kama ndo hivyi basi UDP,nao ni magamba yaani bungeni CDM inaonekana kama chama tawala kuliko CCM sababu vyote vya upinzani ikiwemo CCM wote ni chadema duuuhhh
Jamani muacheni Cheyo agange njaa. Unajua alikuwa tajiri akashuka kuelekea masikini wa kutupwa na sasa amepata auheni.Adha aliyokumbana nayo katika umasiki huo alishaapa kutokuiludia hata kama nikunywa damu ya mtu.
Anajua fika asilimia ya kuwakirisha jimbo lake 2015 ni ndogo mno hivyo anatafuta fadhila angalau ateuliwe mwenyekiti wa Bodi ya Pamba
Jamani muacheni Cheyo agange njaa. Unajua alikuwa tajiri akashuka kuelekea masikini wa kutupwa na sasa amepata auheni.Adha aliyokumbana nayo katika umasiki huo alishaapa kutokuiludia hata kama nikunywa damu ya mtu.
Anajua fika asilimia ya kuwakirisha jimbo lake 2015 ni ndogo mno hivyo anatafuta fadhila angalau ateuliwe mwenyekiti wa Bodi ya Pamba
leo nimeangalia itv saa 2 usiku bei ya pamba wametangaza kilo sh mia sita sasa kazi ipo ...cheyo na mtemi walisema bei isipungue alfu subiri tuone kesho