Nafasi yake imechukuliwa na Rashid,hivyo asahau....kwamba unayo hakika Paul haitawezekana tena kupewa madaraka pengine ya juu kuliko aliyopata kuwa nayo awali?!
Acha ushamba na uache wakati uamue.
Alishaambiwa na Polepole asithubutu kwenda kigamboni, hakusikia. Hajui kwamba linalotoka kwa Polepole au Bashiru maana yake Jiwe kalibariki? Na kwa kumtusi zaidi mpinzani wake kakabidhiwa wizara mpya na nyeti.Kosa lake alikomba mboga
We unazani ishu no kujitosa kwenye ubung😂Wasiwasi wangu ni kuwa Mkuu kamnunia toka wakati anajitosa kwenye Ubunge! Maana hata kumtaja tu hakuna!
Alikuwepo lakini?
Hafai huyo hata kuwa mtendaji wa mtaaLeo nimeamini kuwa cheo ni dhamana hakika.
Msafara wa mh rais wa JMT mkoani dsm.
Haijazoeleka kwenye akili za watu hasa wakaazi wa dsm kushuhudia shughuli za ufunguzi wa miradi kama ya leo kutomuona na kumsikikiza Paul Makonda akihutubia.
Hakika hili liwe fundisho kwa vijana wanao kabidhiwa majukumu ya kuwaongoza wananchi kuwa madaraka ni sawa na nguo ya kuazima.
Leo hii Paul Makonda kageuka mtazamaji na msikilizaji tu wa hotuba za viongozi wakuu na wale wa mkoa wa Dsm!!!
Hili liwe fundisho.
Kama Mbowe tu, alikuwa mbunge na KUB, Leo NI mtazamaji tu wa shughuli za bunge.Leo nimeamini kuwa cheo ni dhamana hakika.
Msafara wa mh rais wa JMT mkoani dsm.
Haijazoeleka kwenye akili za watu hasa wakaazi wa dsm kushuhudia shughuli za ufunguzi wa miradi kama ya leo kutomuona na kumsikikiza Paul Makonda akihutubia.
Hakika hili liwe fundisho kwa vijana wanao kabidhiwa majukumu ya kuwaongoza wananchi kuwa madaraka ni sawa na nguo ya kuazima.
Leo hii Paul Makonda kageuka mtazamaji na msikilizaji tu wa hotuba za viongozi wakuu na wale wa mkoa wa Dsm!!!
Hili liwe fundisho.
Ile ilikuwa ni ajenda binafsi, haikuwa na baraka ya mshua. Maana angekuwa anataka awe mbunge basi tungesikia anamtaja katika kampeni na hata yeye angeamua angempitisha bila shida.Wasiwasi wangu ni kuwa Mkuu kamnunia toka wakati anajitosa kwenye Ubunge! Maana hata kumtaja tu hakuna!
Alikuwepo lakini?
Usikurupuke kwa usivyovijua....anachofanya sasa ni kikubwa tena kwa uhuru bila kelele zenu..tena boss ni yule yule.Leo nimeamini kuwa cheo ni dhamana hakika.
Msafara wa mh rais wa JMT mkoani dsm.
Haijazoeleka kwenye akili za watu hasa wakaazi wa dsm kushuhudia shughuli za ufunguzi wa miradi kama ya leo kutomuona na kumsikikiza Paul Makonda akihutubia.
Hakika hili liwe fundisho kwa vijana wanao kabidhiwa majukumu ya kuwaongoza wananchi kuwa madaraka ni sawa na nguo ya kuazima.
Leo hii Paul Makonda kageuka mtazamaji na msikilizaji tu wa hotuba za viongozi wakuu na wale wa mkoa wa Dsm!!!
Hili liwe fundisho.
Alikuwa sawa kabisa na akina mama wa kizaramo, wakipewa nafasi kutoa salaam kwao ni fursa ya kurusha vijembe na kejeliHaijazoeleka kwenye akili za watu hasa wakaazi wa dsm kushuhudia shughuli za ufunguzi wa miradi kama ya leo kutomuona na kumsikikiza Paul Makonda akihutubia.
Hakika hili liwe fundisho kwa vijana wanao kabidhiwa majukumu ya kuwaongoza wananchi kuwa madaraka ni sawa na nguo ya kuazima.
Leo nimeamini kuwa cheo ni dhamana hakika.
Msafara wa mh rais wa JMT mkoani dsm.
Haijazoeleka kwenye akili za watu hasa wakaazi wa dsm kushuhudia shughuli za ufunguzi wa miradi kama ya leo kutomuona na kumsikikiza Paul Makonda akihutubia.
Hakika hili liwe fundisho kwa vijana wanao kabidhiwa majukumu ya kuwaongoza wananchi kuwa madaraka ni sawa na nguo ya kuazima.
Leo hii Paul Makonda kageuka mtazamaji na msikilizaji tu wa hotuba za viongozi wakuu na wale wa mkoa wa Dsm!!!
Hili liwe fundisho.