Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Leo nimeamini kuwa cheo ni dhamana hakika.
Msafara wa mh rais wa JMT mkoani dsm.
Haijazoeleka kwenye akili za watu hasa wakaazi wa dsm kushuhudia shughuli za ufunguzi wa miradi kama ya leo kutomuona na kumsikikiza Paul Makonda akihutubia.
Hakika hili liwe fundisho kwa vijana wanao kabidhiwa majukumu ya kuwaongoza wananchi kuwa madaraka ni sawa na nguo ya kuazima.
Leo hii Paul Makonda kageuka mtazamaji na msikilizaji tu wa hotuba za viongozi wakuu na wale wa mkoa wa Dsm!!!
Hili liwe fundisho.
Msafara wa mh rais wa JMT mkoani dsm.
Haijazoeleka kwenye akili za watu hasa wakaazi wa dsm kushuhudia shughuli za ufunguzi wa miradi kama ya leo kutomuona na kumsikikiza Paul Makonda akihutubia.
Hakika hili liwe fundisho kwa vijana wanao kabidhiwa majukumu ya kuwaongoza wananchi kuwa madaraka ni sawa na nguo ya kuazima.
Leo hii Paul Makonda kageuka mtazamaji na msikilizaji tu wa hotuba za viongozi wakuu na wale wa mkoa wa Dsm!!!
Hili liwe fundisho.