Yaani umesema yoote ....anzia Major kwenda juu Yaani wengi mnoo mnoo ....nilienda jkt mlalakuwa sikuamini kuna major kama 30 hivi pale tu .....just a siku hizi Brogadier wanapandishwa 21 kwa mpigo.....Canal usiseme wako kibao nadhani jeshi limekua tofauti Enzi zile ......wasipoangalia wapiganaji watakuwa hakuna wote officers.....