mpiganiaukweli
Senior Member
- Jul 16, 2014
- 107
- 27
Mbowe yumo na kamdhibiti mnyika ambaye ni waziri kivuli nishati na madini kanyamaza kimyaaaaaa
ESCROW imekuwa ikipigiwa kelele nyingi sana, mpaka sasa majina yaliyovuja ni yale ya James Rugemalelila kwenye account ya Mkombozi bank. Ruge alipata 30% ya fedha zote na majina yaliyopo mkombozi jumla ya mgawo haufiki 6B. Je Wengine ni akina nani na Je Seth mwenye mkwanja mkubwa aligawia kina nani?
Ili kuwa analytical na fast kuliko makinda na ndugai ni veyma JF ikaweka majina yote hapa kwa yule mwenye data za ukweli kama ilivyokuwa JF ya ukweli. Tulikuwa tunakuwa wa kwanza kabla yeyote enzi za kanzi.
Kwenye hiyo orodha Mbowe yumo.
huenda mbowe amenyamazishwa ili asirapu pale bungeni. huwezi kumtenganisha mchaga na hela ndo maana wezi.Hivi Mbowe ni waziri wa nini vile? Na maamuzi yake kiutawala yana wezaje kuyumbisha serikali pengine dawa mahospitalini au vitabu mashuleni vikakosekana kwa sababu ya maamuzi yake baada ya kupewa mgawo? Tusaidieni tuelewe.
huenda mbowe amenyamazishwa ili asirapu pale bungeni. huwezi kumtenganisha mchaga na hela ndo maana wezi.
watu makini kama akina Zitto, Kafulila (sisimizi-slaa/tumbili-werema) peter serukamba wamelishikia bango kwa masilahi mapana ya umma.
Duru za uchunguzi zinaeleza kwamba Chenge amehojiwa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa ( Takukuru ) na kuthibitisha alilipwa kiasi hicho cha fedha kutoka kwenye fedha za ESCROW kiasi cha Tsh 300 bilion.
Chenge alipoulizwa kiasi hicho kilikua cha nini alipata wakati mgumu kujibu , lakini mwisho alijibu ni ada ya ushauri.
Imethibitika pasishaka kwamba Chenge amepewa kiasi cha Sh 1.6bilion.Ameithibitishia Takukuru alipohojiwa , " zilisema duru za habari za kuaminika kutoka ofisi ya Bunge.
Chanzo kiliongeza : "Awali alipoulizwa ni za nini hakuweza kutoa jibu la haraka sana , lakini mwisho akasema ni za ushauri ".
Uchunguzi zaidi umebaini kuwapo kwa wanufaika wengine wa fedha hizo lakini ( majina yao yamehifadhiwa baada ya kukosekana kujitetea kama maadili ya taaluma yanavyoeleza ).Hata hivyo , juhudi za kuwatafuta zinaendelea na wataanikwa.
Lakini tayari pia Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Anna Tibaijuka amekiri kupokea kiasi cha Sh 1 bilioni kutoka kwa mtuhumiwa wa wizi wa ESCROW.
MAJIBU YA CHENGE.
Alipoulizwa Chenge kuhusiana na tuhuma hizo alijibu kama ifuatavyo :
MWANDISHI : Mheshimiwa shikamoo pole kwa majukumu yote , samahani mimi mwandishi habari gazeti la MWANAHABARI kuna taarifa ambazo zikielekeza kuhusika kwako na kashfa ya Escrow , unazungumziaje.
CHENGE : Na mimi nimeona na kusikia kwenye mitandao ya kijamii yakiwemo Magazeti kunihusisha na suala hilo lakini mimi siwezi kusema chochote.
MWANDISHI : Kwanini usitoe ufafanuzi zaidi ili ukweli ujulikane kama unahusika au uhusiki kuliko kukataa kuzungumza ?
CHENGE : Mimi sitaki kabisa kuzungumzia suala hilo.
MWANDISHI : Au unakataa kuzungumza suala hili kwa sababu unaongea na mimi kwenye simu ungependa tuonane ana kwa ana. ?
CHENGE : Hapana hata ukija tukionana sitakua tayari kuzungumza chochote.
MWANDISHI : Mheshimiwa lakini kwa ujumla unalionaje suala la Escrow.
CHENGE : Sijui lolote.
MWANDISHI :Kweli hujui suala la Escrow Account ?
CHENGE : Kukata simu bila kujibu swali wala kuagana.
Chanzo: Mwanahabari :
Duru za uchunguzi zinaeleza kwamba Chenge amehojiwa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa ( Takukuru ) na kuthibitisha alilipwa kiasi hicho cha fedha kutoka kwenye fedha za ESCROW kiasi cha Tsh 300 bilion.
Chenge alipoulizwa kiasi hicho kilikua cha nini alipata wakati mgumu kujibu , lakini mwisho alijibu ni ada ya ushauri.
'' Imethibitika pasishaka kwamba Chenge amepewa kiasi cha Sh 1.6bilion.Ameithibitishia Takukuru alipohojiwa , " zilisema duru za habari za kuaminika kutoka ofisi ya Bunge.
Chanzo kiliongeza : "Awali alipoulizwa ni za nini hakuweza kutoa jibu la haraka sana , lakini mwisho akasema ni za ushauri ".
Uchunguzi zaidi umebaini kuwapo kwa wanufaika wengine wa fedha hizo lakini ( majina yao yamehifadhiwa baada ya kukosekana kujitetea kama maadili ya taaluma yanavyoeleza ).Hata hivyo , juhudi za kuwatafuta zinaendelea na wataanikwa.
Lakini tayari pia Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Anna Tibaijuka amekiri kupokea kiasi cha Sh 1 bilioni kutoka kwa mtuhumiwa wa wizi wa ESCROW.
MAJIBU YA CHENGE.
Alipoulizwa Chenge kuhusiana na tuhuma hizo alijibu kama ifuatavyo :
MWANDISHI : Mheshimiwa shikamoo pole kwa majukumu yote , samahani mimi mwandishi habari gazeti la MWANAHABARI kuna taarifa ambazo zikielekeza kuhusika kwako na kashfa ya Escrow , unazungumziaje.
CHENGE : Na mimi nimeona na kusikia kwenye mitandao ya kijamii yakiwemo Magazeti kunihusisha na suala hilo lakini mimi siwezi kusema chochote.
MWANDISHI : Kwanini usitoe ufafanuzi zaidi ili ukweli ujulikane kama unahusika au uhusiki kuliko kukataa kuzungumza ?
CHENGE : Mimi sitaki kabisa kuzungumzia suala hilo.
MWANDISHI : Au unakataa kuzungumza suala hili kwa sababu unaongea na mimi kwenye simu ungependa tuonane ana kwa ana. ?
CHENGE : Hapana hata ukija tukionana sitakua tayari kuzungumza chochote.
MWANDISHI : Mheshimiwa lakini kwa ujumla unalionaje suala la Escrow.
CHENGE : Sijui lolote.
MWANDISHI :Kweli hujui suala la Escrow Account ?
CHENGE : Kukata simu bila kujibu swali wala kuagana.
Chanzo: Mwanahabari :
Tangu akiwa mwanasheria mkuu wa serikali amekumbwa na kashfa nyingi na wizi wa fedha za umma. Amehusishwa na fedha za EPA, Meremeta, Rada, Ndege ya Rais ametajwa na sasa ESCROW nayo katajwa kupata mgawo.
Ajabu ni kuwa ndani ya CCM anaaminika sana kiasi cha kupewa cheo " kikubwa" cha Mwenyekiti wa kamati ya maadili. Pia Bungeni ilipoanzishwa Kamati ya Budget ambayo ni muhimu sana ikafanywa juu chini akapewa uenyekiti yeye. Hapo hatujasahau latika BMK alivyopewa Uenyekiti wa Kamati ya uandishi. Sasa pamoja na kufahamika kwa sifa mbaya aliyonayo ( ukiacha ile ya kumwaga unga unga usiku Bungeni aka ulozi) inakuwaje kila itokeapo nafasi mpya CCM lazima wampe? Tena wanampa huku wakimtukuza kumwita Mtemi?
Au hivyo vyeo anavitaka yeye na hivyo anatumia mafedha aliyokwapua kupata uungwaji mkono?
ngoja nikwambie kwanini hawawezi kumtenga chenge
chenge aliwahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali kwa miaka 10 wakati wa utawala wa mkapa, mkataba hauwezi kusainiwa bila ofisi yake kuipitia na kuikubali. kwahiyo kama unakumbuka vizuri mikataba mingi michafu ilipita mikononi mwake na wausika walikuwa wanapitishiwa mikataba yao michafu kupitia kwake wakiwemo mawaziri wote akiwemo mkulu aliyepo ikulu hivi sasa kwahiyo siri zote zinazousiana na uchafu wa mikataba yote anaifahamu na wezi waliousika nayo ndio maana kipindi kile amekamatwa na acount kule London akatoa ile kauli ya vijisenti akilinganisha na wezi wengine wanaoitafuna nchi hii. siku ya ukombozi wa pili wa nchi ukitokea tukiungana na ndugu zetu wa Burkina Faso waliotuonyesha njia mtu prime muhimu kuliko wote ni chenge ndio anaweza kutupatia siri zote chafu kuhusu mikataba badala ya kumfunga miaka 30 jela angalau mkampunguzia mpk 10 endapo atatapika kila kitu.