Chenge apiga billion 1 - fedha za escrow

Chenge apiga billion 1 - fedha za escrow

Mbowe yumo na kamdhibiti mnyika ambaye ni waziri kivuli nishati na madini kanyamaza kimyaaaaaa
 
Muulize david Kafulila anajua wezi.....na uzushi wake....
ESCROW imekuwa ikipigiwa kelele nyingi sana, mpaka sasa majina yaliyovuja ni yale ya James Rugemalelila kwenye account ya Mkombozi bank. Ruge alipata 30% ya fedha zote na majina yaliyopo mkombozi jumla ya mgawo haufiki 6B. Je Wengine ni akina nani na Je Seth mwenye mkwanja mkubwa aligawia kina nani?

Ili kuwa analytical na fast kuliko makinda na ndugai ni veyma JF ikaweka majina yote hapa kwa yule mwenye data za ukweli kama ilivyokuwa JF ya ukweli. Tulikuwa tunakuwa wa kwanza kabla yeyote enzi za kanzi.
 
Kwenye hiyo orodha Mbowe yumo.

Hivi Mbowe ni waziri wa nini vile? Na maamuzi yake kiutawala yana wezaje kuyumbisha serikali pengine dawa mahospitalini au vitabu mashuleni vikakosekana kwa sababu ya maamuzi yake baada ya kupewa mgawo? Tusaidieni tuelewe.
huenda mbowe amenyamazishwa ili asirapu pale bungeni. huwezi kumtenganisha mchaga na hela ndo maana wezi.
watu makini kama akina Zitto, Kafulila (sisimizi-slaa/tumbili-werema) peter serukamba wamelishikia bango kwa masilahi mapana ya umma.
 
huenda mbowe amenyamazishwa ili asirapu pale bungeni. huwezi kumtenganisha mchaga na hela ndo maana wezi.
watu makini kama akina Zitto, Kafulila (sisimizi-slaa/tumbili-werema) peter serukamba wamelishikia bango kwa masilahi mapana ya umma.

Kumbe mpango mzima hapa ni "HUENDA AMENYAMAZISHWA"? Basi mie sina neno zaidi.
 
Haya tena mwanahabari saidi Kubenea...Mtungaji uongo mkuu sasa anamchokonoa Mzee Chenge....baada ya kuona hakuna mahali anapoweza kumsingizia ameona amzushie kuwa kahojiwa na kadai fedha za ushauri....Mbona mna haraka jinsi hiyo????? subirini keshokutwa sio mbali tutawajua woooote waliopokea mgawo na walioomba wakanyimwa....
Duru za uchunguzi zinaeleza kwamba Chenge amehojiwa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa ( Takukuru ) na kuthibitisha alilipwa kiasi hicho cha fedha kutoka kwenye fedha za ESCROW kiasi cha Tsh 300 bilion.

Chenge alipoulizwa kiasi hicho kilikua cha nini alipata wakati mgumu kujibu , lakini mwisho alijibu ni ada ya ushauri.

’’ Imethibitika pasishaka kwamba Chenge amepewa kiasi cha Sh 1.6bilion.Ameithibitishia Takukuru alipohojiwa , " zilisema duru za habari za kuaminika kutoka ofisi ya Bunge.

Chanzo kiliongeza : "Awali alipoulizwa ni za nini hakuweza kutoa jibu la haraka sana , lakini mwisho akasema ni za ushauri ".

Uchunguzi zaidi umebaini kuwapo kwa wanufaika wengine wa fedha hizo lakini ( majina yao yamehifadhiwa baada ya kukosekana kujitetea kama maadili ya taaluma yanavyoeleza ).Hata hivyo , juhudi za kuwatafuta zinaendelea na wataanikwa.

Lakini tayari pia Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Anna Tibaijuka amekiri kupokea kiasi cha Sh 1 bilioni kutoka kwa mtuhumiwa wa wizi wa ESCROW.

MAJIBU YA CHENGE.
Alipoulizwa Chenge kuhusiana na tuhuma hizo alijibu kama ifuatavyo :

MWANDISHI : Mheshimiwa shikamoo pole kwa majukumu yote , samahani mimi mwandishi habari gazeti la MWANAHABARI kuna taarifa ambazo zikielekeza kuhusika kwako na kashfa ya Escrow , unazungumziaje.

CHENGE : Na mimi nimeona na kusikia kwenye mitandao ya kijamii yakiwemo Magazeti kunihusisha na suala hilo lakini mimi siwezi kusema chochote.

MWANDISHI : Kwanini usitoe ufafanuzi zaidi ili ukweli ujulikane kama unahusika au uhusiki kuliko kukataa kuzungumza ?

CHENGE : Mimi sitaki kabisa kuzungumzia suala hilo.

MWANDISHI : Au unakataa kuzungumza suala hili kwa sababu unaongea na mimi kwenye simu ungependa tuonane ana kwa ana. ?

CHENGE : Hapana hata ukija tukionana sitakua tayari kuzungumza chochote.

MWANDISHI : Mheshimiwa lakini kwa ujumla unalionaje suala la Escrow.

CHENGE : Sijui lolote.

MWANDISHI :Kweli hujui suala la Escrow Account ?

CHENGE : Kukata simu bila kujibu swali wala kuagana.


Chanzo: Mwanahabari :
 
Hii issue imewashika pabaya CCM. I hope watu wa vijijini wanaweza kuelewa kinachoendelea Dodoma.
 
Duru za uchunguzi zinaeleza kwamba Chenge amehojiwa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa ( Takukuru ) na kuthibitisha alilipwa kiasi hicho cha fedha kutoka kwenye fedha za ESCROW kiasi cha Tsh 300 bilion.

Chenge alipoulizwa kiasi hicho kilikua cha nini alipata wakati mgumu kujibu , lakini mwisho alijibu ni ada ya ushauri.

'' Imethibitika pasishaka kwamba Chenge amepewa kiasi cha Sh 1.6bilion.Ameithibitishia Takukuru alipohojiwa , " zilisema duru za habari za kuaminika kutoka ofisi ya Bunge.

Chanzo kiliongeza : "Awali alipoulizwa ni za nini hakuweza kutoa jibu la haraka sana , lakini mwisho akasema ni za ushauri ".

Uchunguzi zaidi umebaini kuwapo kwa wanufaika wengine wa fedha hizo lakini ( majina yao yamehifadhiwa baada ya kukosekana kujitetea kama maadili ya taaluma yanavyoeleza ).Hata hivyo , juhudi za kuwatafuta zinaendelea na wataanikwa.

Lakini tayari pia Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Anna Tibaijuka amekiri kupokea kiasi cha Sh 1 bilioni kutoka kwa mtuhumiwa wa wizi wa ESCROW.

MAJIBU YA CHENGE.
Alipoulizwa Chenge kuhusiana na tuhuma hizo alijibu kama ifuatavyo :

MWANDISHI : Mheshimiwa shikamoo pole kwa majukumu yote , samahani mimi mwandishi habari gazeti la MWANAHABARI kuna taarifa ambazo zikielekeza kuhusika kwako na kashfa ya Escrow , unazungumziaje.

CHENGE : Na mimi nimeona na kusikia kwenye mitandao ya kijamii yakiwemo Magazeti kunihusisha na suala hilo lakini mimi siwezi kusema chochote.

MWANDISHI : Kwanini usitoe ufafanuzi zaidi ili ukweli ujulikane kama unahusika au uhusiki kuliko kukataa kuzungumza ?

CHENGE : Mimi sitaki kabisa kuzungumzia suala hilo.

MWANDISHI : Au unakataa kuzungumza suala hili kwa sababu unaongea na mimi kwenye simu ungependa tuonane ana kwa ana. ?

CHENGE : Hapana hata ukija tukionana sitakua tayari kuzungumza chochote.

MWANDISHI : Mheshimiwa lakini kwa ujumla unalionaje suala la Escrow.

CHENGE : Sijui lolote.

MWANDISHI :Kweli hujui suala la Escrow Account ?

CHENGE : Kukata simu bila kujibu swali wala kuagana.


Chanzo: Mwanahabari :

Hii ndio ishara namba moja kuwa 'KATIBA PENDEKEZWA' iliyoandikwa na huyu mwizi ni 100% disqualified, pamoja na vigezo vingine lukuki...kwa kuwa mwizi hawezi kujenga jela ya kujifunga mwenyewe! Wametengeneza 'kitabu cha CCM' wanachokiita Katiba Pendekezwa ili kujificha na kumaliza uhai wa umma kwa wizi wao mkuu...manyang'au wa-head!

Kunatakiwa kuwe na kipengele cha kuvuliwa nguo hadharani kwa wezi kama Chenge na wezi wengine, wachapwe viboko matakoni 'hamso' na mwisho wapitie mkondo wa 'kamba shingoni' ili kukomesha wizi huu wa udhalilishaji wa uhai wa umma...kwa sababu hakuna utawala Tanzania, bali genge tu la walafi!!
 
Tangu akiwa mwanasheria mkuu wa serikali amekumbwa na kashfa nyingi na wizi wa fedha za umma. Amehusishwa na fedha za EPA, Meremeta, Rada, Ndege ya Rais ametajwa na sasa ESCROW nayo katajwa kupata mgawo.
Ajabu ni kuwa ndani ya CCM anaaminika sana kiasi cha kupewa cheo " kikubwa" cha Mwenyekiti wa kamati ya maadili. Pia Bungeni ilipoanzishwa Kamati ya Budget ambayo ni muhimu sana ikafanywa juu chini akapewa uenyekiti yeye. Hapo hatujasahau latika BMK alivyopewa Uenyekiti wa Kamati ya uandishi. Sasa pamoja na kufahamika kwa sifa mbaya aliyonayo ( ukiacha ile ya kumwaga unga unga usiku Bungeni aka ulozi) inakuwaje kila itokeapo nafasi mpya CCM lazima wampe? Tena wanampa huku wakimtukuza kumwita Mtemi?
Au hivyo vyeo anavitaka yeye na hivyo anatumia mafedha aliyokwapua kupata uungwaji mkono?
 
Chenge ni ishara ya upumbavu wa sisi watanzania... tusisahau kwamba mzee chenge pia "anahusishwa" na kifo cha yule binti aliyekua anafanya kazi mwanza hotel, alimgonga oysterbay

Kwa maovu aliyohusishwa nayo, endapo Chenge angekua chama cha upinzani, angekua anaishi jela au hata wameshamnyonga
 
Wahuni hawa hawajali chochote kile, wanajua watakwiba watakavyo na hakuna kibaya kitawachowatokea kuhusiana na adhabu kali dhidi ya wizi wao. Huyu Chenge alikuwa afukuzwe pamoja na akina Lowassa, Rostam na wengineo kama wachafuzi wa chama katika kile kilichoitwa "kulivua gamba" lakini baada ya kumtisha DHAIFU Janga Kubwa kwamba kama watafukuzwa chamani basi "Ikulu hakutalalika" basi DHAIFU akagwaya na hakuna aliyefukuzwa. Matokeo yake wizi wa mabilioni unaendelea mwaka hadi mwaka.
 
Tangu akiwa mwanasheria mkuu wa serikali amekumbwa na kashfa nyingi na wizi wa fedha za umma. Amehusishwa na fedha za EPA, Meremeta, Rada, Ndege ya Rais ametajwa na sasa ESCROW nayo katajwa kupata mgawo.
Ajabu ni kuwa ndani ya CCM anaaminika sana kiasi cha kupewa cheo " kikubwa" cha Mwenyekiti wa kamati ya maadili. Pia Bungeni ilipoanzishwa Kamati ya Budget ambayo ni muhimu sana ikafanywa juu chini akapewa uenyekiti yeye. Hapo hatujasahau latika BMK alivyopewa Uenyekiti wa Kamati ya uandishi. Sasa pamoja na kufahamika kwa sifa mbaya aliyonayo ( ukiacha ile ya kumwaga unga unga usiku Bungeni aka ulozi) inakuwaje kila itokeapo nafasi mpya CCM lazima wampe? Tena wanampa huku wakimtukuza kumwita Mtemi?
Au hivyo vyeo anavitaka yeye na hivyo anatumia mafedha aliyokwapua kupata uungwaji mkono?

ngoja nikwambie kwanini hawawezi kumtenga chenge
chenge aliwahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali kwa miaka 10 wakati wa utawala wa mkapa, mkataba hauwezi kusainiwa bila ofisi yake kuipitia na kuikubali. kwahiyo kama unakumbuka vizuri mikataba mingi michafu ilipita mikononi mwake na wausika walikuwa wanapitishiwa mikataba yao michafu kupitia kwake wakiwemo mawaziri wote akiwemo mkulu aliyepo ikulu hivi sasa kwahiyo siri zote zinazousiana na uchafu wa mikataba yote anaifahamu na wezi waliousika nayo ndio maana kipindi kile amekamatwa na acount kule London akatoa ile kauli ya vijisenti akilinganisha na wezi wengine wanaoitafuna nchi hii. siku ya ukombozi wa pili wa nchi ukitokea tukiungana na ndugu zetu wa Burkina Faso waliotuonyesha njia mtu prime muhimu kuliko wote ni chenge ndio anaweza kutupatia siri zote chafu kuhusu mikataba badala ya kumfunga miaka 30 jela angalau mkampunguzia mpk 10 endapo atatapika kila kitu.
 
Mkuu usishangae ccm sifa ya kwanza kupewa cheo Ni lazima uwe mwizi mzoefu. Huyu chenge amewazidi wenzake kwa uwizi kwa hiyo Ana sifa ndio maana wanampa vyeo. Nisaidieni kushangaa nchi hii jamani.
 
ngoja nikwambie kwanini hawawezi kumtenga chenge
chenge aliwahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali kwa miaka 10 wakati wa utawala wa mkapa, mkataba hauwezi kusainiwa bila ofisi yake kuipitia na kuikubali. kwahiyo kama unakumbuka vizuri mikataba mingi michafu ilipita mikononi mwake na wausika walikuwa wanapitishiwa mikataba yao michafu kupitia kwake wakiwemo mawaziri wote akiwemo mkulu aliyepo ikulu hivi sasa kwahiyo siri zote zinazousiana na uchafu wa mikataba yote anaifahamu na wezi waliousika nayo ndio maana kipindi kile amekamatwa na acount kule London akatoa ile kauli ya vijisenti akilinganisha na wezi wengine wanaoitafuna nchi hii. siku ya ukombozi wa pili wa nchi ukitokea tukiungana na ndugu zetu wa Burkina Faso waliotuonyesha njia mtu prime muhimu kuliko wote ni chenge ndio anaweza kutupatia siri zote chafu kuhusu mikataba badala ya kumfunga miaka 30 jela angalau mkampunguzia mpk 10 endapo atatapika kila kitu.

Dah!Umenifungua macho mkuu!!Huo ndio ukweli.Je ndani ya Ccm hakuna wazalendo wakalimulika ili na kulisemea kwa manufaa ya nchi?
 
Uchawi wa Chenge umewapumbaza wana ccm wote kiasi kwamba hata kuwaweka ndani kinyumba anaweza
 
Back
Top Bottom