Chenge apiga billion 1 - fedha za escrow

Chenge apiga billion 1 - fedha za escrow

Chenge ni ishara ya upumbavu wa sisi watanzania... tusisahau kwamba mzee chenge pia "anahusishwa" na kifo cha yule binti aliyekua anafanya kazi mwanza hotel, alimgonga oysterbay

Kwa maovu aliyohusishwa nayo, endapo Chenge angekua chama cha upinzani, angekua anaishi jela au hata wameshamnyonga

Lakini msisahau kuwa, alipo Chenge yupo pia Lowasa.
 
Hivi huyu mzee si alishawahi kukamatwa bungeni akiwanga?? Ama nimekosea?
 
Hivi huyu mzee si alishawahi kukamatwa bungeni akiwanga?? Ama nimekosea?

Alijitetea kuwa alikuwa anaangalia wapi pa kukaa. La ajabu ni kuwa camera zilimwonyesha akienda hadi kwenye kiti cha Spika. Mbaya zaidi kwa nini akatafute pa kukaa usiku? Tena pekeyake? Hata hivyo kwa jinsi alivyo "mtemi" hayo yaliisha kimya kimya.
 
Alijitetea kuwa alikuwa anaangalia wapi pa kukaa. La ajabu ni kuwa camera zilimwonyesha akienda hadi kwenye kiti cha Spika. Mbaya zaidi kwa nini akatafute pa kukaa usiku? Tena pekeyake? Hata hivyo kwa jinsi alivyo "mtemi" hayo yaliisha kimya kimya.

Na si alikuwa uchi??
 
Alijitetea kuwa alikuwa anaangalia wapi pa kukaa. La ajabu ni kuwa camera zilimwonyesha akienda hadi kwenye kiti cha Spika. Mbaya zaidi kwa nini akatafute pa kukaa usiku? Tena pekeyake? Hata hivyo kwa jinsi alivyo "mtemi" hayo yaliisha kimya kimya.

Kwa hiyo ndiyo kusema KUPULIZA kunalipa?:confused2::confused2::confused2:
 
Hakuna, narudia, hakuna anayejua makandokando ya serikali ya CCM kumpita Chenge. Chenge anazo zinazoitwa dossier ya wakuu wa nchi hii tangu utawala wa Mwinyi hadi sasa na kazitunza vyema tu just in case! Hakuna, narudia, hakuna wa kumgusa Chenge ndani ya CCM. Chenge si mwanasiasa na kwa ambao wamewahi kumsikiliza hajui hata kujieleza ila vitendo vyake vya makandokando vina kishindo ndani ya CCM...hiyo lugha ya makandokando aliiasisi yeye. Ni Chenge tu amewahi kutamba hadharani na kwa uwazi kuwa anamiliki vijisenti (dola milioni moja) kwenye account yake ughaibuni na hakuna aliyeweza kuwa na ujasiri wa kumhoji kazipataje. Huyo ndiye Chenge!
 
Viongozi wa CCM huwa wanaunganishwa na uovu, hakuna hata mmoja ambaye hakuwahi kula rushwa au kuiba au kupewa malipo yasiyo halali. Wakati mmoja Warioba akiwa kwenye mkutano wa CCM NEC aliwaambia wajumbe kuwa kama mjumbe au kiongozi yeyote mle ndani ambaye hajawahi kula rushwa au kupokea malipo yasiyo halali asimame, hakuna hata mmoja ambaye alisimama.

Tafsiri yake ni kuwa CCM ni chama cha waovu, viongozi wao ni waovu zaidi kuliko wanaowaongoza.

Hivyo maadili ya CCM ni ouvu na kiongozi wa maadili ni lazima awe mwovu mzoevu. Na hapo ndipo Chenge anafaa zaidi kuliko wote.

wana mwamin kwa kudokoa hivyo ni muhimu sana kwao
 
Chenge ni ishara ya upumbavu wa sisi watanzania... tusisahau kwamba mzee chenge pia "anahusishwa" na kifo cha yule binti aliyekua anafanya kazi mwanza hotel, alimgonga oysterbay

Kwa maovu aliyohusishwa nayo, endapo Chenge angekua chama cha upinzani, angekua anaishi jela au hata wameshamnyonga

Fungukaa,huyo binti kwanini aligongwa? Kuna siri alikuwa anaijua kuhusu chenge?
 
Viongozi wa CCM huwa wanaunganishwa na uovu, hakuna hata mmoja ambaye hakuwahi kula rushwa au kuiba au kupewa malipo yasiyo halali. Wakati mmoja Warioba akiwa kwenye mkutano wa CCM NEC aliwaambia wajumbe kuwa kama mjumbe au kiongozi yeyote mle ndani ambaye hajawahi kula rushwa au kupokea malipo yasiyo halali asimame, hakuna hata mmoja ambaye alisimama.

Tafsiri yake ni kuwa CCM ni chama cha waovu, viongozi wao ni waovu zaidi kuliko wanaowaongoza.

Hivyo maadili ya CCM ni ouvu na kiongozi wa maadili ni lazima awe mwovu mzoevu. Na hapo ndipo Chenge anafaa zaidi kuliko wote.

Hilo ni neno kubwa sana. Kuwa viongozi wa CCM wanaunganishwa "kwa uovu wao" Sasa najiuliza jee wao na wananchi wa kawaida walala hoi wanaunganishwa na nini?
 
Fungukaa,huyo binti kwanini aligongwa? Kuna siri alikuwa anaijua kuhusu chenge?

Mkuu habari ambazo hazikudhibitishwa ni kuwa aliowagonga wale wasichana ni mke wa Chenge baada ya wale mabinti kufumwa wakiwa na mzee na kuamua kukimbia. Chenge alikuwa Club na dereva usiku ule na aliamua kujivika ile kesi ili kuua soo na ndio maana hata pamoja na maneno mengi kuwa wale mmoja wapo alikuwa mpenzi wa Chenge mama hakuonyesha kujali madamu mzee kachukua jukumu kubwa kama hilo
 
Hapa inabidi tu Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Chenge, na wengine wanaotajwa kukamatwa na kunyongwa ili heshima irudi hapa nchini.
 
Chenge kweli kiboko deal zake ni kuanzia bn, je deal ambazo hazijulikani si atkua na vijisenti vingi sana
 
Back
Top Bottom