Lucas J Ntemi
Member
- Jun 30, 2015
- 22
- 3
Mwalimu mkuu alitembelewa na wageni idadi kadhaa, akawapa viti pia idadi kadhaa, wakaamua kukaa kama ifuatavyo:
Wakikaa mmoja mmoja kwenye kila kiti mgeni mmoja anakosa kiti,
Wakikaa watatu watatu kwenye kiti kimoja kiti kimoja kinabaki,
Je! Wageni walikuwa wangapi na viti vilikuwa vingapi?
Wakikaa mmoja mmoja kwenye kila kiti mgeni mmoja anakosa kiti,
Wakikaa watatu watatu kwenye kiti kimoja kiti kimoja kinabaki,
Je! Wageni walikuwa wangapi na viti vilikuwa vingapi?