Mwalimu akiwa katika mazungumzo na wanafunzi wake akawaambia "Kama jana ingelikuwa kesho basi leo ingelikuwa jumamosi" je mwl aliitoa kauli hiyo siku gani?
Jumatatu kwa sababu hii:
Anaposema kama jana ingelikuwa kesho, maana yake anamaanisha Jumapili(ambayo ndio jana(siku kabla ya jumatatu)) ingelikuwa kesho basi leo ingekuwa jumamosi.
Mwalimu akiwa katika mazungumzo na wanafunzi wake akawaambia "Kama jana ingelikuwa kesho basi leo ingelikuwa jumamosi" je mwl aliitoa kauli hiyo siku gani?
Simple: "kama jana ingekuwa ijumaa basi kesho ingekuwa kumapili.kwahiyo leo ni jumamosi. "
Kauli hii ilitolewa siku ya siku ya alhamis .: akimanisha kama jana(jumatano) ingekuwa kesho(ijumaa) bas leo ingekuwa jumamosi.
Jumatatu kwa sababu hii:
Anaposema kama jana ingelikuwa kesho, maana yake anamaanisha Jumapili(ambayo ndio jana(siku kabla ya jumatatu)) ingelikuwa kesho basi leo ingekuwa jumamosi.
Simple: "kama jana ingekuwa ijumaa basi kesho ingekuwa kumapili.kwahiyo leo ni jumamosi. "
Kauli hii ilitolewa siku ya siku ya alhamis .: akimanisha kama jana(jumatano) ingekuwa kesho(ijumaa) bas leo ingekuwa jumamosi.