Chemsha Bongo

GISAMBO

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2014
Posts
1,216
Reaction score
1,982
Tank Namba ngapi unadhani litakua la kwanza kujaa sio mbaya ukitoa na sababu
 
1

Kwa sababu hakuna mahusiano yoyote kati ya tank namba 1 na hayo mengine...

Hakuna sehemu inayoonesha kuwa maji yanatoka kwenyw tank namba 1 na kwenda namba 2.

Hivyo tank namba 1 ndio litakuwa la kwanza na la mwisho kujaa
 
1

Kwa sababu hakuna mahusiano yoyote kati ya tank namba 1 na hayo mengine...

Hakuna sehemu inayoonesha kuwa maji yanatoka kwenyw tank namba 1 na kwenda namba 2.

Hivyo tank namba 1 ndio litakuwa la kwanza na la mwisho kujaa
Kwa sababu hio ulioitoa ww inamaana hata maji pia hayatakuwa na uwezo wa kuingia kwenye hilo tank la 1 sababu hakuna uwazi unaoruhusu maji kupita
 
Kwa sababu hio ulioitoa ww inamaana hata maji pia hayatakuwa na uwezo wa kuingia kwenye hilo tank la 1 sababu hakuna uwazi unaoruhusu maji kupita
Duuh.. Mkuu ina maana huoni kama kwa juu ya tank kuna mdomo..!??
 
1

Kwa sababu hakuna mahusiano yoyote kati ya tank namba 1 na hayo mengine...

Hakuna sehemu inayoonesha kuwa maji yanatoka kwenyw tank namba 1 na kwenda namba 2.

Hivyo tank namba 1 ndio litakuwa la kwanza na la mwisho kujaa


That is on your own mind
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…