Chemsha bongo yangu hii

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,331
33,142
Kinamama wafanyabiashara ya mbogamboga wakifanya shughuli hiyo eneo la ?, njia panda ya ? Dar es Salaam jana. Fungu moja huuzwa kati ya sh. 200 hadi 300.

<tbody>
</tbody>

Haya tena wabongo nawapeni chemsha bongo kisia hapo ni eneo gani?
 
Nilipita pale kwenye ma flat ya URAFIKI Shekilango wanalima sana bustani pale lkn hayo maji wanayomwagilia nadhani ni maji ya sewage maana ni MEUSi yananuka balaa. Mh hizi mboga za mjini basi tu mungu anatunusuru
 
Nilipita pale kwenye ma flat ya URAFIKI Shekilango wanalima sana bustani pale lkn hayo maji wanayomwagilia nadhani ni maji ya sewage maana ni MEUSi yananuka balaa. Mh hizi mboga za mjini basi tu mungu anatunusuru
Waswahili husema ukimchunguza kuku? Hutaweza kumla wewe kula tu madamu hakidhuru kula
 
Kuna rafiki yangu kanambia ni kitunda, njia panda ya kivule... lol I hope hajanidanganya...
hahahhahahh Umeshinda kweli wewe chemsha bongo yangu Mshindi ni wewe

majibu sahihi ni hii hapa chini picha
Kinamama wafanyabiashara ya mbogamboga wakifanya shughuli hiyo eneo la Kitunda, njia panda ya Kivule, Dar es Salaam jana. Fungu moja huuzwa kati ya sh. 200 hadi 300.



<tbody>
</tbody>


Chanzo MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:
 
MM.ungepunguza ugumu wa swali lako ujue dar ni kubwa ungeweka mazingira labda ungesema hii sehemu ipo Temeke au Ilala
 
This mother and her four daughters must fetch 20 buckets of water a day for their household in Dar es Salaam. Photograph: Gideon Mendel/ActionAid

haya natowa ingine hapo ni wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…