Hapo umejumlisha hela unayodaiwa na hela uliyo nayo mkononi ndio tatizo,
Ni kama hesabu za hasi na chanya, Huwezi kujumlisha deni (hasi) na mali ulizonazo (chanya) kisha upate jumla unatakiwa utoe
kujumlisha ilitakiwa iwe hivi -4900 (deni) + -4900 (deni) + 100 (hela mkononi) = -9700 (deni)
Hapo unapata una deni la 9,700 kwa kuwa kiasi cha pesa ulichotumia baada ya kukopa hiyo 10,000 ni 9,700 tu, so matumizi yako ni sawa na deni lako...
Kama ushawahi kufanya biashara ni rahisi sana kuelewa