Ukishindwa hili,basi kichwa kinakulemea bure ila hamna chochote cha maana kichwani!
Ni katika muktadha(situation) au mazingira ambapo 2x3 si sawa na 3x2
Ukishindwa hili,basi kichwa kinakulemea bure ila hamna chochote cha maana kichwani!
Ni katika muktadha(situation) au mazingira ambapo 2x3 si sawa na 3x2
Aliyekwambia huyo ni kaka nani?Kaka tuliomo humu nani kakwambia tunjua hesabu?
namna ya kumeza dawa:2*3 means,2 asubuhi,2 mchana,2 jioni ila 3*2 means 3 asubuhi na 3 jioni,haya umeelemewa na bichwa lako mwenyewe!
michakato ya kusolve ikwesheni yako iko kwenye process...
Ukishindwa hili,basi kichwa kinakulemea bure ila hamna chochote cha maana kichwani!
Ni katika muktadha(situation) au mazingira ambapo 2x3 si sawa na 3x2