Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,400
- 138,662
- Thread starter
-
- #61
Nashangaaa anavyoingiliaa mimi nilikua nakuambia wew lakin ye kayavalia njuga au ndio yule ulikua unamsubiri akupe like maana nashindwa kumuelewaaa!!!!!!mwishowee niongee broken bureee
Ndugu, naona watu washaanza kuhisi kuwa wewe ni mimi. Vichekesho!:loco:
Mhakikishie Dina kuwa wewe si mimi, asije akanifikiria vibaya bure.
Wamezoea kusifiwa wakiona watu wanawachallenge na kumtetea waliyemshambulia wanadhania ni yeye katika multiple ID'S hawana uwezo hata wa kuangalia flow ya fasini na maneno yanayotumika maana uandishi pia huacha lama kama fingerprints,
Mimi sio Nyani bali nimetetea hoja yake mlioishambulia
Ha ha ha
Punguza hasira binamu ukienda jela siji kukutazama na sijui huo uraia pacha utaupigania saa ngapi
^^^^^^
Nimeachana naee watu kama hawa hua hawakosekanii humu umenikumbusha la maana kweli,maana nimegundua nnaejibishana nae ni nanii
You are really drawn to a person. You begin to date and the chemistry grows stronger and stronger. You take things to the next level and it becomes exclusive and everything is hunky dory, kosher, and fine and dandy.
Then one day out of a clear blue sky you don't feel the same attraction any longer. It's gone. It's kaput!
What happened? Is it because the mystery is gone and you know too much about the person too soon?
Or is it because you created some fantasy chemistry that doesn't even exist in the real world?
Why would a person lose attraction to their partner like that? What is the cause for the emotional connection breakdown?
You are all welcome to chime in.....
sasa hapa kiingereza kigumu kiko wapi?? nadhani mna issue na mleta thread wala sio lugha aliotumia.
Wamezoea kusifiwa wakiona watu wanawachallenge na kumtetea waliyemshambulia wanadhania ni yeye katika multiple ID'S hawana uwezo hata wa kuangalia flow ya fasini na maneno yanayotumika maana uandishi pia huacha lama kama fingerprints, Mimi sio Nyani bali nimetetea hoja yake mlioishambulia badala ya kuangalia tahariri yake na si lazima kila thread lazima wachangie utakuta wanachangia kila thread ni kama hawana kazi na cha kufanya mtu kajiunga let say one month tayari katundika 3000 huyo mtu ni kama hana kazi iwapo ana kazi anajua mwenyewe ni kazi gani maana kila thread lazima aandike B.S kabisa
So sorry my sear.You are really drawn to a person. You begin to date and the chemistry grows stronger and stronger. You take things to the next level and it becomes exclusive and everything is hunky dory, kosher, and fine and dandy.
Then one day out of a clear blue sky you don't feel the same attraction any longer. It's gone. It's kaput!
What happened? Is it because the mystery is gone and you know too much about the person too soon?
Or is it because you created some fantasy chemistry that doesn't even exist in the real world?
Why would a person lose attraction to their partner like that? What is the cause for the emotional connection breakdown?
You are all welcome to chime in.....
sasa hapa kiingereza kigumu kiko wapi?? nadhani mna issue na mleta thread wala sio lugha aliotumia.
Wenye chuki binafsi ndio walimshambulia hata mie sijaona tatizo ndo maana akina Spartakas walisimama kumtetea Nyaningabi dhidi ya haters
Wenye chuki binafsi ndio walimshambulia hata mie sijaona tatizo ndo maana akina Spartakas walisimama kumtetea Nyaningabi dhidi ya haters
Na wewe utaambiwa ndo mimi ila umekuja na alternate ID.
mi sjui kizungu ila nawe Nyani punguza sifa, hivi unajuaga misamiati tu ya kizungu? mbona forum za majuu wanaandika kizungu kirahisi hata sisi f4 tunaelewa?
we ulisomea sayari ya Mars? mi sjaelewa, kha nde mgaya sida
Ni spatakase huyo watu wana Id nyingiii lol
Chuki za nini wakati tunakaa pazuri...tunalala pazuri...tunakula vizuri...bima za afya na magari tunazo tumchukie mtu ni breadwinner wetu?
kumbe ukiwa na basic needs kama wewe chuki inatoweka!