marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 964
- 1,689
Chelsea ndo bingwa wa mech hii ya super cup kasoro ni kombe tu ndo hajabeba lakin vilivyobaki Liverpool wamesubiri
Chelsea wameupiga mwingi sana wamecheza mpira wa kueleweka sio kubahatisha kama Liverpool .
Marefa hawa wanawake wameharibu mechi ....
Mpaka sasa sielewi sababu ya kuweka wanawake marefa
VAR ndio kitu kitakacho nifanya niache kushabikia football ...
Nawapongeza sana Chelsea kwa ubingwa
Nawapongeza Liverpool kwa kushinda kombe
Chelsea wameupiga mwingi sana wamecheza mpira wa kueleweka sio kubahatisha kama Liverpool .
Marefa hawa wanawake wameharibu mechi ....
Mpaka sasa sielewi sababu ya kuweka wanawake marefa
VAR ndio kitu kitakacho nifanya niache kushabikia football ...
Nawapongeza sana Chelsea kwa ubingwa
Nawapongeza Liverpool kwa kushinda kombe