chelsea kuweka sokoni wachezaji

chelsea kuweka sokoni wachezaji

reginahope

Senior Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
163
Reaction score
30
the blues ipo mbioni kuwauza mata, luizi, terry, ba, katika dirisha dogo la usajili huku wakitaka kuingiza nyota watano darajani akiwemo falcao. pia ashley cole kuna uwezekano mkubwa akaondoka darajani hii ni pamoja na kupigwa bench mech mbili mfululizo kutokana na kiwango chake kutoridhisha. timu haichezi vizuri kwa sasa ila kwa fans wa blues tutegemee makubwa siku za usoni kwani kocha mpya kujenga timu anahitaji mda.
 
Luiz yupi huyo? Au David Luiz kama ni DLuiz sahau kuuzwa kwake
 
Morinyo nae ha mnazo! Alituzuilia nn sasa kutupa Ba kumbe hamuhitaji??
 
Hivi Mata amemkosea nini huyu mzee? Yaani Mou simuelewi kabisa.
 
Usimtetee bana, jamaa anatuzingua sana mashabiki wa Chelsea na first eleven yake isiyoeleweka.

Mimi ananikera kweli,cjui kwanini anamuweka mata benchi?cpendi philosophy yake ya mpira,timu haiko free kabsa,unakuta mchezaji anacheza kama jose anavyotaka
 
Mimi ananikera kweli,cjui kwanini anamuweka mata benchi?cpendi philosophy yake ya mpira,timu haiko free kabsa,unakuta mchezaji anacheza kama jose anavyotaka

Teh teh...na hiyo ndio tofauti kati ya TIMU na kundi la wachezaji mastaa. The man has earned every right to do what he does. Labda usubiri tu akifeli ndo utakua na haki ya kusema vinginevyo.
 
Wenger anakuja na offer January kwa Ba na Mata, Kwasababu mmewaweka Sokoni nitashangaa mkigoma kutuuzia!

wenger yupo interested na mata na Ba tatizo kwa mata psg wapo tayari kutoa offer ya pound milion 40 ambapo nadhani itampa wenger ushindani mkubwa sn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom