Yaani hapa nilipo ninafuraha isiyo na kifani leo ninachinja mbuzi kabisa big up Abramovic na board nzima ya Chelsea hii ndio Chelsea tunayoijua hakuna kumvumilia mtu ukiaharibu unafukuzwa.
Kama Lampard angeendelea kubaki hata ligi ya mabingwa tungetolewa na A.Madrid na tungeambulia patupu kocha gani hata kupanga kikosi kinamshinda tuna kikosi kizuri alafu anashindwa kukitumia Chelsea Ni sehemu ambayo kocha unapewa kila kitu tofauti na jirani yetu Arsenal unashindwaje kufanikiwa?
Namtakia kila la kheri Lampard najua ulikuwa ni uwamuzi mgumu kumfukuza legend huyu kutokana na legacy aliyoiacha Chelsea lakini pia na mahusiano mazuri aliyonayo na Abramovic ila kilichoangaliwa Ni maslahi mapana ya team kuliko yeye binafsi.
Kama Lampard angeendelea kubaki hata ligi ya mabingwa tungetolewa na A.Madrid na tungeambulia patupu kocha gani hata kupanga kikosi kinamshinda tuna kikosi kizuri alafu anashindwa kukitumia Chelsea Ni sehemu ambayo kocha unapewa kila kitu tofauti na jirani yetu Arsenal unashindwaje kufanikiwa?
Namtakia kila la kheri Lampard najua ulikuwa ni uwamuzi mgumu kumfukuza legend huyu kutokana na legacy aliyoiacha Chelsea lakini pia na mahusiano mazuri aliyonayo na Abramovic ila kilichoangaliwa Ni maslahi mapana ya team kuliko yeye binafsi.