I think Roman has changed his vision from winning every trophy to hiring every manager.
mtahangaika sana wala tatizo c kocha timu imejaa wazee sana!hivyo wanachofanya ni kumhujumu kocha aonekane hafai.timueni na wazee wote,mjenge timu mpya.
Yah nimeona kwenye goal.com, mikoba kaachiwa di mateo, na benitez anapewa nafasi kubwa kutua darajani msimu utakapoisha