mahakama ya kazi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 1,520
- 243
huyo ndio molinyo
Amesha fulia,Laana za Wenger hizo,kama Alexander lehb,naye ilikuwa hivyohivyo saa hizi hasikiki.
Nafikiri nimekubaliano ila official za karatasi kwenda FA itakuwa ni 1st July ili mchezaji aruhusiwe kucheza.Ninahisi Cesc bado yupo safi, Hivi dirisha la usajili limeanza lini?
Chelsea mpaka sasa wanasajili vizuri, na inaonyesha bado wataendelea kusajili, ila tatizo aina yao ya uchezaji wa kupaki treni sijui kama utawasaidia hawa wachezaji wanaowasajili.
Chelsea ni timu ambayo kila msimu lazima isajili at least wachezaji 5,kumbuka Luiz,Cole,Lampard,Etoo wameshatupiwa virago Mikel,Ba,Lukaku nao huenda wakaondoka so ukiacha Diego Costa kuna striker mwingine atatua,full beki wa kushoto
Cesc bado ni mchezaji mzuri kwa EPL kule Barca kulikuwa hakumfai,Barca wamegundua walifanya kosa kumuuza Thiago Alcantara
. Ila mapema mno kusema atabaki na Demba Ba na Torres ila kuja kwa Fabregas nafikiri Torres atabaki. Ila Costa mashine Lukaku wakubakishwa ila pia wakiuza watapata pesa nzuri ya kuleta zaidi mpaka sasa Chelsea deal la Luiz kumuuza millioni 50 ni Zuri sana wamepokea upesi ile pesa wametumia 30m Wana 20million na kuondoka kwa Lampard na Cole itasaidia wataokuja kupata mshahara Mzuri nimesahau Costa amenunuliwa 30m kwahiyo wametumia 10m. Najuwa Torres anachemsha ila Pengine Fab ndio atamchezesha Torres vizuri. Uzuri wa Morinho Hana muda wa ku gamble players na kulea watoto.Mpaka leo sielewi kwanini JM hataki kumrudisha Lukaku... anang'ang'ania kubakia na akina Demba Ba na mzigoTores
Huyo Thiago sijui ninasikitika tulimkosa
. Ila mapema mno kusema atabaki na Demba Ba na Torres ila kuja kwa Fabregas nafikiri Torres atabaki. Ila Costa mashine Lukaku wakubakishwa ila pia wakiuza watapata pesa nzuri ya kuleta zaidi mpaka sasa Chelsea deal la Luiz kumuuza millioni 50 ni Zuri sana wamepokea upesi ile pesa wametumia 30m Wana 20million na kuondoka kwa Lampard na Cole itasaidia wataokuja kupata mshahara Mzuri nimesahau Costa amenunuliwa 30m kwahiyo wametumia 10m. Najuwa Torres anachemsha ila Pengine Fab ndio atamchezesha Torres vizuri. Uzuri wa Morinho Hana muda wa ku gamble players na kulea watoto.
ujue m nawashangaaa thana mashabiki wa chelsea sasa walimuuzia nn mata sasa mnamchukua fbgs
Cesc bado ni mchezaji mzuri kwa EPL alifanya makosa kulilia kwenda nyumbani (Barca) still Arsenal hawana mchezaji kama yeye,