reginahope
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 163
- 30
ni mtazamo wng wadau. kwa mwendo wa epl ninavyouona chelsea endapo itafanikiwa kumfunga sunderland cku ya jumamosi basi uwezekano utakuwa mkubwa sn kutwaa kombe. kuwafunga liver anfied c zani km itashindikana kwani beki ya liver inaruhusu goli nyingi sn pia SAS wamekuwa hawafurukuti sn katika big match. mechi ya sunderland itakuwa muhimu sn kwa chelsea kushinda iliweze kutwaa kombe. hyo mechi ya liver itakuwa km fainali