makaburini
Member
- Dec 14, 2011
- 19
- 22
umesoma tuhuma zako, imekuwaje mkuu wife kajua ID yako, soma uzi huu-"kama mbinguni wanaenda wenye ndoa basi sitaeda"hii ni nouma, umejiandaa kukabiliana na hilo au ndo unamwambia nyumba ndogo aanze kufungasha ajisogeze karibu ?