Hii ni timu ya taifa ya wanawake ya Iran iliiyoondolewa kwenye mechi za kufuzu kucheza Olympic 2012 kwa sababu ya "jezi" zao
HAYA NDIO YANAYOLETELEZA ARAB AWAKENING
Mbona sioni sababu ya maana ilyowafanya hao FIFA wawafungie? Kwani hizo jezi zitaleta madhara gani kwa timu pinzani? Sana zitawafanya wenyewe washindwe kuwa free sana wakati wa kucheza.Au FIFA wanataka kuona mapaja ya watoto wa kiarabu nini?
FIFA ni lazima wabadilike sivyo nchi nyingi za kiarabu zitafikiria upya suala la kushirikisha wanawake ktk soka.
fifa wamesema hawana dini wala kabil, so katika soka wasilete masuala ya imani.
Mimi siyo mwislamu. Tatizo lingine ni kuendekeza western culture kama ndio civilization. Tamaduni za middle east ukiacha mambo ya dini, wanawake na wanaume wana uvaaji wao. Dini pia ni culture. Wapo ambao wapo mashariki ya kati nao hupenda kuvaa hivyo. Tazama maigizo ya matendo ya Yesu, na angalia wanawake walikisiwa kuvaa vipi hata kabla ya uislamu. FIFA needs to reform, not everything is Western. Kwa hili Waarabu hawa walionewa tu.