Babu mmoja alikuwa akivuka barabara,ghafla akagongwa na baiskeli akazimia,wasamalia wema wakamweka kando ya barabara,mpita njia akasema "mnunulieni maziwa "Gafla yule babu akasema na bagia za 300/=............
teheeeeeeeeeeee teheeeeeeeeeeeeeeee..............
teh teh teh bana bana hiyo ki2 ipo kwetu india , iko wewe gongwa na bajaj mtu gonga wewe lazima ukupe ki2 dogo, teeeteeeetehhhh teeeteeeetehhhh iko mimi cheka sana