Babu mmoja alikuwa akivuka barabara,ghafla akagongwa na baiskeli akazimia,wasamalia wema wakamweka kando ya barabara,mpita njia akasema "mnunulieni maziwa "Gafla yule babu akasema na bagia za 300/=............
teheeeeeeeeeeee teheeeeeeeeeeeeeeee..............