Idd hashim
Member
- Jan 4, 2013
- 79
- 17
Baba alinunua robot ambayo nna uwezo wa kutambua kwamba mtu fulani amesema uongo na huwa inamchapa kibao mtu huyo" siku moja baba akamuuliza mwanae mwanangu mtihani wako wa kisw. Umepata ngapi? Mtoto akajibu nimepata mia! Akalambwa kibao na robot' baba akasema enzi zangu mi nilikuwa nakuwa wakwanza akala kibao, mtoto akacheka' mama yake akamwambia we unacheka nn si unajua huyu ni baba yako? Tobaa maza akalambwa kibao . Je wajua kosa lake?