Watanzania wanajua kuwa mtetezi wao ni CDM. Wanajua kwa vyama vingine ni washirika wa CCM, ni vibaraka. Wanajua hili tena sana maana wameumia miaka hii mitano. Kila mmoja ameguswa na mateso ya awamu hii kwa namna moja au nyingine, na aliyetoa kauli ya kuwatetea ni CDM.
Kuweni imara, kaza buti , anzisha wave nyingine ya CDM ni msingi , wastue wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuweni imara, kaza buti , anzisha wave nyingine ya CDM ni msingi , wastue wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app