Chawa mtandaoni mnazidi kuleta mambo ya ajabu

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,759
Reaction score
37,374
Kuna chawa walitengeneza picha kuwa asilimia 98 aliongea na Rais wa Marekani.

Kumbe sisi huku ndani tukufahamu walifanya hivyo kuaminisha dunia.

Kuwekea kikwazo na Marekani sababu ya udanganyifu na mauaji ambayo wanatumia nguvu nyingi.

Walivyoona hivyo walifuta ila hii ni sehemu ya ushaidi.
 
halafu kuna wale vijana mamluki wa kile chama chenu cha waropokaji wanaolelewa pale nairobi na yule mbibi mwenye mashavu kama bodi ya bajaji,

mbona siku hizi hawatengenezi tena artworks za porojo za oct.29?
au uzushi umewaishia?
 
Unaongelea hawa machawa viazi pumpkin heads
machawa promax buku7 from lumumba street!
 
Sijaelewa, kwamba kuna watu walisema amekutana na Trump au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…