Fbn JF-Expert Member Joined Jul 31, 2016 Posts 14,138 Reaction score 33,525 Dec 18, 2025 #1 Kuna chawa walitengeneza picha kuwa asilimia 98 aliongea na Rais wa Marekani. Kumbe sisi huku ndani tukufahamu walifanya hivyo kuaminisha dunia. Kuwekea kikwazo na Marekani sababu ya udanganyifu na mauaji ambayo wanatumia nguvu nyingi. Walivyoona hivyo walifuta ila hii ni sehemu ya ushaidi.
Kuna chawa walitengeneza picha kuwa asilimia 98 aliongea na Rais wa Marekani. Kumbe sisi huku ndani tukufahamu walifanya hivyo kuaminisha dunia. Kuwekea kikwazo na Marekani sababu ya udanganyifu na mauaji ambayo wanatumia nguvu nyingi. Walivyoona hivyo walifuta ila hii ni sehemu ya ushaidi.
VERBOSE JF-Expert Member Joined Sep 12, 2022 Posts 8,145 Reaction score 12,746 Dec 18, 2025 #2 Hajaiona Trump hio amshukie na maban ya kutosha..?
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 36,155 Reaction score 30,848 Dec 18, 2025 #3 Fbn said: Kuna chawa walitengeneza picha kuwa asilimia 98 aliongea na raisi wa marekani. Kumbe sisi huku ndani tukufahamu walifanya hivyo kuaminisha dunia. kuwekea kikwazo na marekani sababu ya udanganyifu na mauwaji ambayo wanatumia nguvu nyingi. walivyoona hivyo walifuta ila hii ni sehemu ya ushaidi.View attachment 3516978 Click to expand... halafu kuna wale vijana mamluki wa kile chama chenu cha waropokaji wanaolelewa pale nairobi na yule mbibi mwenye mashavu kama bodi ya bajaji, mbona siku hizi hawatengenezi tena artworks za porojo za oct.29? au uzushi umewaishia?
Fbn said: Kuna chawa walitengeneza picha kuwa asilimia 98 aliongea na raisi wa marekani. Kumbe sisi huku ndani tukufahamu walifanya hivyo kuaminisha dunia. kuwekea kikwazo na marekani sababu ya udanganyifu na mauwaji ambayo wanatumia nguvu nyingi. walivyoona hivyo walifuta ila hii ni sehemu ya ushaidi.View attachment 3516978 Click to expand... halafu kuna wale vijana mamluki wa kile chama chenu cha waropokaji wanaolelewa pale nairobi na yule mbibi mwenye mashavu kama bodi ya bajaji, mbona siku hizi hawatengenezi tena artworks za porojo za oct.29? au uzushi umewaishia?
BLACKTIGER JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 4,346 Reaction score 6,855 Dec 18, 2025 #4 Unaongelea hawa machawa viazi pumpkin heads machawa promax buku7 from lumumba street!
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 43,748 Reaction score 103,534 Dec 18, 2025 #5 Sijaelewa, kwamba kuna watu walisema amekutana na Trump au?
Mjusi Sharobalo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2025 Posts 7,442 Reaction score 12,710 Dec 18, 2025 #6 Acha waendelee kujipitisha barabarani na mizigo yao.