Chaumma walisahau siasa ni imani

Chaumma walisahau siasa ni imani

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Wakati Jon mrema na wenzake wako bize na press conference baada ya kuondoka chadema niliwashangaa sana

Kwanini nasema hivi siasa ni imani ambayo unatakiwa uwajengee wananchi kwa mda mrefu na ina gharama sasa wakina Jon mrema na wenzake wakataka kutumia shortcut naamini wameona game lilivyokuwa ngumu

Mfano mimi nimetangaza nia ya kuwa Rais wa Tanzania nafahamu ni mchakato mgumu sana na upo kwenye kujenga imani kwa wananchi hii ndo sehemu ngumu kuliko zote

Ndo maana wale wapenda shortcut wameona kujenga imani kwa wananchi ni kazi ngumu sana basi wameamua kuwa machawa narudia tena kujenga imani kwa wananchi ni kazi ngumu sana

Unatakiwa uwe na msimamo ili ile imani waliyokuwa nayo kwako isiondoke mfano kipindi cha magufuli tuliona kuna wanasiasa wa upinzani walikuwa wananunuliwa ila wote walionunuliwa wamepotea kwenye siasa sababu wananchi waliondoa imani juu yao

CCM mpaka wanatumia jeshi ni kwa sababu ile imani kutoka kwa wananchi hipo tena hilo wanalijua vizuri ndo maana siasa zao wanazifanya kwa msaada wa polisi

Kama wanataka chauma wawe wapinzani wa kweli wanaoungwa mkono na wananchi basi wanakazi ngumu sana ya kufanya, ila kama wako kwa ajili ya madeal yao hawana kazi ngumu ya kufanya ni kitendo cha wao kuwa mamluki
 
Wakati Jon mrema na wenzake wako bize na press conference baada ya kuondoka chadema niliwashangaa sana

Kwanini nasema hivi siasa ni imani ambayo unatakiwa uwajengee wananchi kwa mda mrefu na ina gharama sasa wakina Jon mrema na wenzake wakataka kutumia shortcut naamini wameona game lilivyokuwa ngumu

Mfano mimi nimetangaza nia ya kuwa Rais wa Tanzania nafahamu ni mchakato mgumu sana na upo kwenye kujenga imani kwa wananchi hii ndo sehemu ngumu kuliko zote

Ndo maana wale wapenda shortcut wameona kujenga imani kwa wananchi ni kazi ngumu sana basi wameamua kuwa machawa narudia tena kujenga imani kwa wananchi ni kazi ngumu sana

Unatakiwa uwe na msimamo ili ile imani waliyokuwa nayo kwako isiondoke mfano kipindi cha magufuli tuliona kuna wanasiasa wa upinzani walikuwa wananunuliwa ila wote walionunuliwa wamepotea kwenye siasa sababu wananchi waliondoa imani juu yao

CCM mpaka wanatumia jeshi ni kwa sababu ile imani kutoka kwa wananchi hipo tena hilo wanalijua vizuri ndo maana siasa zao wanazifanya kwa msaada wa polisi

Kama wanataka chauma wawe wapinzani wa kweli wanaoungwa mkono na wananchi basi wanakazi ngumu sana ya kufanya, ila kama wako kwa ajili ya madeal yao hawana kazi ngumu ya kufanya ni kitendo cha wao kuwa mamluki
siasa ni maisha ndio maana vibakuli vya michango haviishi mikutanoni, la sivyo watu watashinda njaa 🐒
 
Imekuwa bora wasaliti wameondoka mapema, ukitaka kujua aina za viumbe waliopo kwenye kichuguu basi kimwagie mafuta ya taa. Kuingia kwa Lissu kama mwenyekiti imekuwa kama kumwagia mafuta ya taa kichuguu, wale wavamizi na wapenda vyeo wameondoka.
 
Wakati Jon mrema na wenzake wako bize na press conference baada ya kuondoka chadema niliwashangaa sana

Kwanini nasema hivi siasa ni imani ambayo unatakiwa uwajengee wananchi kwa mda mrefu na ina gharama sasa wakina Jon mrema na wenzake wakataka kutumia shortcut naamini wameona game lilivyokuwa ngumu

Mfano mimi nimetangaza nia ya kuwa Rais wa Tanzania nafahamu ni mchakato mgumu sana na upo kwenye kujenga imani kwa wananchi hii ndo sehemu ngumu kuliko zote

Ndo maana wale wapenda shortcut wameona kujenga imani kwa wananchi ni kazi ngumu sana basi wameamua kuwa machawa narudia tena kujenga imani kwa wananchi ni kazi ngumu sana

Unatakiwa uwe na msimamo ili ile imani waliyokuwa nayo kwako isiondoke mfano kipindi cha magufuli tuliona kuna wanasiasa wa upinzani walikuwa wananunuliwa ila wote walionunuliwa wamepotea kwenye siasa sababu wananchi waliondoa imani juu yao

CCM mpaka wanatumia jeshi ni kwa sababu ile imani kutoka kwa wananchi hipo tena hilo wanalijua vizuri ndo maana siasa zao wanazifanya kwa msaada wa polisi

Kama wanataka chauma wawe wapinzani wa kweli wanaoungwa mkono na wananchi basi wanakazi ngumu sana ya kufanya, ila kama wako kwa ajili ya madeal yao hawana kazi ngumu ya kufanya ni kitendo cha wao kuwa mamluki
Kumbe una akili timamu
 
Imekuwa bora wasaliti wameondoka mapema, ukitaka kujua aina za viumbe waliopo kwenye kichuguu basi kimwagie mafuta ya taa. Kuingia kwa Lissu kama mwenyekiti imekuwa kama kumwagia mafuta ya taa kichuguu, wale wavamizi na wapenda vyeo wameondoka.
Tundu hawezi kaa na is wahuni ila ukitaka kuleta uhuni Lissu pia mhuni smart check alichomfanya Mbowe check kabali yao No reforms no Election balaa lake
 
chauma ni flying dutchman ya tanzania
kimepoteza mwelekeo kabla ya kuanza safari
 
Chauma hawakupiga hesabu zao vizuri
RAIS... RAIS...RAIS WETU AJAYE DENNIS ROBERTS SISI TUPOO NYUMA YAKO ULIPO TUPO.

MWENYEZI MUNGU AKUJALIE UWEZE KUTIMIZA NDOTO ZAKO HII NCHI TUMECHEZEWA SANAA..TUMELALIWA SANAAA

SISI NI DONOR COUNTY KWA MAONO YAKO TUNAENDA KUZISAIDIA NCHI NYINGI AFRICA NA DUNIANI.

KISWAHILI KINAENDA KUWA LUGHA KUBWA DUNIANI MAANA TECHNOLOGY ZOTEE KUBWA KUBWA NA VUMBUZI ADIMU SANAA ZINAENDA KUTEKELEZWA KWENYE UTAWALA WAKO.
 
RAIS... RAIS...RAIS WETU AJAYE DENNIS ROBERTS SISI TUPOO NYUMA YAKO ULIPO TUPO.

MWENYEZI MUNGU AKUJALIE UWEZE KUTIMIZA NDOTO ZAKO HII NCHI TUMECHEZEWA SANAA..TUMELALIWA SANAAA

SISI NI DONOR COUNTY KWA MAONO YAKO TUNAENDA KUZISAIDIA NCHI NYINGI AFRICA NA DUNIANI.

KISWAHILI KINAENDA KUWA LUGHA KUBWA DUNIANI MAANA TECHNOLOGY ZOTEE KUBWA KUBWA NA VUMBUZI ADIMU SANAA ZINAENDA KUTEKELEZWA KWENYE UTAWALA WAKO.
Tanzania itakuwa superpower yaani at some point kwenye historia ya dunia Tanzania itakua superpower kama ilivyokuwa Greece, America na nchi nyingine
 
Back
Top Bottom