GE2025 CHAUMMA: Mgonjwa akifika hospitali apewe Ubwabwa

GE2025 CHAUMMA: Mgonjwa akifika hospitali apewe Ubwabwa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Sisi CHAUMMA sera yetu ni chakula, mgonjwa akifika hospitali badala ya kukutana na dripu anakutana na ubwabwa, anapiga ubwabwa anashushia na dawa." - Devotha Minja, Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CHAUMMA kwenye uzinduzi wa kampeni.
 
Sisi CHAUMMA sera yetu ni chakula, mgonjwa akifika hospitali badala ya kukutana na dripu anakutana na ubwabwa, anapiga ubwabwa anashushia na dawa." - Devotha Minja, Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CHAUMMA kwenye uzinduzi wa kampeni.


Haya majamaa hamnazo kabisa. Kama hakuna dawa? Kweli njaa mbaya sana
 
Ina maana ccm wameshindwa kuwapa pesa na wao wapate nyomi la kuzugia? Hapo ni Dar, huko mikoani si itakuwa aibu?
 
CCM vs CHAUMA

Hii ni aibu tupu kwa chama kikongwe na maharufu duniani kukubali huu ujinga

Kongole kwa Chadema hata ikishindikana mmejenga historia ambayo haitofutika kamwe.
 
Hiyo ndio sera ya chama cha chauma endapo watapewa nafasi kushika madaraka.

Mgonjwa akifika hospital asipewe drip ya maji badara yake apewe ubwabwa kwanza ale.

Sasa nashangaa hizi sera au vichekesho Tanzania?

Kana kwamba TZ ni masikini sana hadi kuwatishia ubwabwa kweli.

Kama viongozi ndio type hii. INAFKILISHA NA KUSIKITIKA
 
Sisi CHAUMMA sera yetu ni chakula, mgonjwa akifika hospitali badala ya kukutana na dripu anakutana na ubwabwa, anapiga ubwabwa anashushia na dawa." - Devotha Minja, Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CHAUMMA kwenye uzinduzi wa kampeni.
Mama Samia kweli unashindana na watu kama hawa!
 
Back
Top Bottom