CHAUMMA: Kampeni ya kuruka na chopa mikoa 16 imeishia wapi?

CHAUMMA: Kampeni ya kuruka na chopa mikoa 16 imeishia wapi?

Chaumma walitangaza kuanza operation C4C wakiruka na Chopa.

Hatimaye wakaizindua pale Mwanza na mara ya mwisho nimewasikia wakiwa Mara.

Je hizo operation zinaendelea au wamerudi kwenye drawing board?
Mafuta tatizo tuko kwa mfadhili hapa tunayajenga
 
fb_img_1684849274867-jpg.2632462

zooom
 
Chaumma walitangaza kuanza operation C4C wakiruka na Chopa.

Hatimaye wakaizindua pale Mwanza na mara ya mwisho nimewasikia wakiwa Mara.

Je hizo operation zinaendelea au wamerudi kwenye drawing board?
Zikitajwa nchi zenye maajabu duniani hii ya kwetu ni moja wapo! Kama watu mpaka leo wanaamini kwamba chopa ndiyo hujaza watu uwanjani na siyo ujumbe basi ni hatar
 
Chaumma walitangaza kuanza operation C4C wakiruka na Chopa.

Hatimaye wakaizindua pale Mwanza na mara ya mwisho nimewasikia wakiwa Mara.

Je hizo operation zinaendelea au wamerudi kwenye drawing board?
Hivi mwenyekiti wa Chauma ni nani Vile, Ni John au Rungwe, hatuelewi elewi.
 
ULAYA WAMEFUNGUA ndege za Tanzania SIO salama ,so hata Huku Tanzania ni hatari kupanda hiyo mikweche
 
Back
Top Bottom