Chato yazidi kuneemeka; Serikali kujenga Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Ziwa

iHistoria haijampa somo vizuri, kama kule kijijini kwao Mobutu na kwao Humphouet Boigny
 
... Ummy naye kashindwa kujenga hoja vizuri. Kama Kanda ya Ziwa ina "wagonjwa" wengi kuliko maeneo mengine kwanini Chato? Au Chato ni center ya kanda ile? Kwanini sio Kahama, au miji mingine mikubwa kama Shinyanga?

Mkuu ndiyo maana wahenga walisema "njia ya mwongo fupi." Hana hoja ya maana ya kutetea huo uamuzi.
 
iHistoria haijampa somo vizuri, kama kule kijijini kwao Mobutu na kwao Humphouet Boigny
Chato siyo kijijini. Chato ni mji mdogo toka enzi za ukoloni. Ni bandari na ina ginnery ya kuchambua pamba toka mwanzoni mwa miaka ya sitini. Iko kwenye barabara kuu ya Bukoba - Muleba - Bwanga. Usilinganishe kijiji ch Mobutu na Chato ambayo.tayari ni makao makuu ya wilaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unataka kila kitu kiwe dar hapana aisee dar kumejaa huduma nyingine tuziweke mkoani badala ya kwenda india
Shida iko hapa.kwanini kilakitu chato .hatukusikia kila kitu msoga,msoga msoga
 
Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.

Miaka ile ya kusikiliza Bunge kwenye radio Marehemu Phares Kabuye, alipata kuuliza kama kuna mtu amepata kumuona mtu mzima anakula ugali kwa mikono miwili! Haijapata kutokea lakini ndiyo haya yanayoendelea Chato; watu wazima wanakula kwa mikono miwili! Ajabu na kweli.
 
Kwani bugando siyo referral hospital, basi ngoja na mimi nichekee tumboni
 
Hoja yako afifu,Hospital za Mikoa zingeboreshwa kwa kiwango cha kuwa za rufaa na kikanda .
 
Suluhisho ni kuboresha hospital za Kagera au Kigoma kufikia uwezo wa hospital za kikanda.
 

"Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa".
Pole serukamba ulishindwa kuwa mnafiq
 
Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.
 
Mobutu wa Chato tumemchoka. Mwaka huu hatoboi URAIS. Tuone Kama hata hiyo international airport pale Chato itatumika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…