ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,062
- 6,197
iHistoria haijampa somo vizuri, kama kule kijijini kwao Mobutu na kwao Humphouet Boigny
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... Ummy naye kashindwa kujenga hoja vizuri. Kama Kanda ya Ziwa ina "wagonjwa" wengi kuliko maeneo mengine kwanini Chato? Au Chato ni center ya kanda ile? Kwanini sio Kahama, au miji mingine mikubwa kama Shinyanga?
Bika kusahau barabara ya Geita -Bukoli- Kahama.Geita kumenogaaaaa, ila mkuu tukumbuke na huku Mbogwe, Barabara ya Masumbwe- Lugunga- Geita mjini iwe ya lami
Chato siyo kijijini. Chato ni mji mdogo toka enzi za ukoloni. Ni bandari na ina ginnery ya kuchambua pamba toka mwanzoni mwa miaka ya sitini. Iko kwenye barabara kuu ya Bukoba - Muleba - Bwanga. Usilinganishe kijiji ch Mobutu na Chato ambayo.tayari ni makao makuu ya wilaya.iHistoria haijampa somo vizuri, kama kule kijijini kwao Mobutu na kwao Humphouet Boigny
Shida iko hapa.kwanini kilakitu chato .hatukusikia kila kitu msoga,msoga msogaMkuu unataka kila kitu kiwe dar hapana aisee dar kumejaa huduma nyingine tuziweke mkoani badala ya kwenda india
Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.
Hoja yako afifu,Hospital za Mikoa zingeboreshwa kwa kiwango cha kuwa za rufaa na kikanda .Hakuna cha ubaba! Taifa umaskini chanzo ni yeye. Magufuli ndiyo ananyoosha hii sasa.
Pwani ipi? Au hujui viwanda takribani 73 vimejengwa enzi za Kikwete?! Mloganzila kwanini haikupelekwa Iringa?!
Tuwe wakweli zama za Umwinyi na Umangi kwisha habari yake. U-Daslam utapotea ili taifa lisonge.
Haiwezekani mtu Kigoma na Kagera yupo mahtuti mpaka afike Daslam kwa tiba! Haiwezekani, Daslam ni kipande kidogo sana kwa Tanzania.
Maendeleo endelevu ya Tanzania
Suluhisho ni kuboresha hospital za Kagera au Kigoma kufikia uwezo wa hospital za kikanda.Pembezoni ipi unayoisemea?! Daslam?, Zama hizo zimeisha.
Kwa takribani miaka 60 sasa wakazi wa Kigoma na Kagera wamekuwa wakifuata huduma za kijamii Daslam, Elimu ya juu, Hospitali, Usafiri wa Kimataifa na mengineyo. Haiwezekani hii lazima ifike ukomo kwa maendeleo ya taifa hili! U-Daslam lazima ufe.
Serikali ya Tanzania itajenga Hospitali ya Rufaa wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii leo Jumatatu Januari 20, 2020, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amesema Serikali inatarajia kujenga hospitali hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu kuwa eneo hilo.
“Tumefanya utafiti na kugundua kuna wagonjwa wengi Kanda ya Ziwa kwa hiyo tunajenga Zonal Hospital (hospitali ya Kanda) Chato,” amesema.
Amesema kuwa sababu ya kujenga hospitali hiyo Chato ni Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa na watu zaidi milioni 15.
Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.
Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.
Chanzo: Mwananchi
Pia soma Serikali kujenga hospitali ya kikanda ya kitalii Geita
Baadaye wajumbe wa kamati hiyo watapata fursa ya kuichangia na kama kutakuwa na maswali, mapendekezo watayatoa.Serikali imesema ina dhamiria kujenga hospital ya kanda ya Ziwa huko Chato mkoani Geita
Waziri wa Afya jinsia na watoto amebainisha hilo leo
My take: kwa nini ijengwe Chato na si Mwanza kitovu cha kanda ya Ziwa au Geita makao makuu ya mkoa?
Source Mwananchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Amepata malipo ya kicheko chake huyo ndie jiwe mzee wa visasi.Ila hapo kwa Serukamba kucheka pamenifurahisha sana.
Chato wana mpango wa kuivuta bahari tokea Bagamoyo hadi chatoChato watawekewa hadi fly over
Kaamua kumkomoa serukamba kakata jina lake kwenye ubungeIla hapo kwa Serukamba kucheka pamenifurahisha sana.
Jiografia ya wapk hiyo dogo!?Kijiografia Chato ni katikati ya Mwanza, Shinyanga, Kigoma, Kagera na Simuyu.
Katikati ukiwa unatokea wapi mkuu?Kijiografia Chato ni katikati ya Mwanza, Shinyanga, Kigoma, Kagera na Simuyu.