Chato: Wanaosubiri CRDB ifunge tawi lake, watasubiri milele na watakufa bila kelele

Bora CRBD imelitolea ufafanuzi.
Benki ndio inawajibika kufunga au kutofunga sasa hizi pilipili mtama usiokula zawawasha nini?
Je wakikufungulia mashtaka ya kutoa taarifa za uongo na hujuma utamlaumu nani.Au mnataka Jamii Forum tufungiwe tena?

Acha mikwara mbuzi, jf ikifungwa tunahamia JamiiForums.com. Rais alisema atanunua korosho za wakulima ndani ya siku 2 iwapo wafanyabishara hawatazinunua na hela ipo. Je alichosema ni kweli? Je tumfutie urais wake kwa kusema uongo? Acha vitisho vya kipuuzi.
 


Acha mikwara mbuzi, jf ikifungwa tunahamia *********. Rais alisema atanunua korosho za wakulima ndani ya siku 2 iwapo wafanyabishara hawatazinunua na hela ipo. Je alichosema ni kweli? Je tumfutie urais wake kwa kusema uongo? Acha vitisho vya kipuuzi.
 
Dar es Salaam. Benki ya CRDB imesema haina mpango wa kufunga tawi lake la Chato mkoani Geita.

Benki hiyo imetoa kauli hiyo kufuatia taarifa za uongo zinazosambaa mitandaoni zikieleza uwepo wa mpango wa kulifunga tawi hilo la kisasa lililofunguliwa Machi 9,2018 na Rais wa Tanzania, John Magufuli.

Akizungumza na Mwananchi leo Jumatano, Febuari 27, 2019, Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa amesema hawana mpango wa kufuta tawi hilo.

“Hivi karibuni, kumetokea wimbi la taarifa za uzushi kuhusu benki yetu zikiwa na lengo la kuiharibia benki yetu kibiashara na taswira yake katika jamii,” amesema Mwambapa.

Amesema CRDB haina mpango wa kufunga tawi hilo na huduma zinaendelea kutolewa kama kawaida tangu tawi hilo lilipofunguliwa.

“Kwa yeyote anayefanya haya mambo anafanya uharibifu kwa CRDB pamoja na nchi yetu ya Tanzania kwani benki yetu ni muhimu sana katika uchumi wa Tanzania,” amesema Mwambapa.

hawafungi tawi sawa

lakini hajajibu hoja kama kuna au hakuna biashara!

tawi lina au halina tija

whether wanafanya, kama kwenye mradi wa ndege ATCL, kitu kinaitwa "cash injection," unatoa pesa hapa unajazia pale ili pasionekane panazaa hasara
 
Dar es Salaam. Benki ya CRDB imesema haina mpango wa kufunga tawi lake la Chato mkoani Geita.

Benki hiyo imetoa kauli hiyo kufuatia taarifa za uongo zinazosambaa mitandaoni zikieleza uwepo wa mpango wa kulifunga tawi hilo la kisasa lililofunguliwa Machi 9,2018 na Rais wa Tanzania, John Magufuli.

Akizungumza na Mwananchi leo Jumatano, Febuari 27, 2019, Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa amesema hawana mpango wa kufuta tawi hilo.

“Hivi karibuni, kumetokea wimbi la taarifa za uzushi kuhusu benki yetu zikiwa na lengo la kuiharibia benki yetu kibiashara na taswira yake katika jamii,” amesema Mwambapa.

Amesema CRDB haina mpango wa kufunga tawi hilo na huduma zinaendelea kutolewa kama kawaida tangu tawi hilo lilipofunguliwa.

“Kwa yeyote anayefanya haya mambo anafanya uharibifu kwa CRDB pamoja na nchi yetu ya Tanzania kwani benki yetu ni muhimu sana katika uchumi wa Tanzania,” amesema Mwambapa.
Mfalme lazma kawapiga mkwara......
 
Bora CRBD imelitolea ufafanuzi.
Benki ndio inawajibika kufunga au kutofunga sasa hizi pilipili mtama usiokula zawawasha nini?
Je wakikufungulia mashtaka ya kutoa taarifa za uongo na hujuma utamlaumu nani.Au mnataka Jamii Forum tufungiwe tena?
Sikushangaa nimeona ripoti huko Jamii Forums inaongoza kwa kuikosoa serikali lakini ukweli Jamii Forums hasa jukwaa la Siasa limekuwa jukwaa la Propaganda sana! yani watu wakipewa Double Kick wanakuja Jukwaa la Siasa kupost habari za uongo!
 
Dar es Salaam. Benki ya CRDB imesema haina mpango wa kufunga tawi lake la Chato mkoani Geita.

Benki hiyo imetoa kauli hiyo kufuatia taarifa za uongo zinazosambaa mitandaoni zikieleza uwepo wa mpango wa kulifunga tawi hilo la kisasa lililofunguliwa Machi 9,2018 na Rais wa Tanzania, John Magufuli.

Akizungumza na Mwananchi leo Jumatano, Febuari 27, 2019, Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa amesema hawana mpango wa kufuta tawi hilo.

“Hivi karibuni, kumetokea wimbi la taarifa za uzushi kuhusu benki yetu zikiwa na lengo la kuiharibia benki yetu kibiashara na taswira yake katika jamii,” amesema Mwambapa.

Amesema CRDB haina mpango wa kufunga tawi hilo na huduma zinaendelea kutolewa kama kawaida tangu tawi hilo lilipofunguliwa.

“Kwa yeyote anayefanya haya mambo anafanya uharibifu kwa CRDB pamoja na nchi yetu ya Tanzania kwani benki yetu ni muhimu sana katika uchumi wa Tanzania,” amesema Mwambapa.
Sasa dadaangu Tuli hivi mtaendelea kuhudumia wateja watano ili kumfurahisha Mtukufu Sultan hadi lini ?
 
Sikushangaa nimeona ripoti huko Jamii Forums inaongoza kwa kuikosoa serikali lakini ukweli Jamii Forums hasa jukwaa la Siasa limekuwa jukwaa la Propaganda sana! yani watu wakipewa Double Kick wanakuja Jukwaa la Siasa kupost habari za uongo!
weka akiba ya maneno mkuu wangu
 
Figa hakuna shida na hilo, ni jema. Historia ni mwalimu mzuri. Korosho mlisema nini? Story ya Korosho sasa ikoje? Haya matangazo kwenye attachment tunaomba maelezo yake. May be ni photoshop/cooked images. Lakini kwanini mtu adanganye na kupiga na pich, shida yote ya nini? Nani asiyependa maendeleo ya Chato? May be kuna vyumba vya ziada havina kazi na hivyo wanavikodisha! Au ni jengo jipya la CRDB
Hakuna anayeomba tawi lifungwe, watu wanataka ukweli wa yanayojri kwetu ili kama kuna mahali pa kurekebisha turekebishe! Hakuna mwenye nia mbaya!
Mkuu, hayo matangazo kweli yapo bt hayahusu jengo jipya, ni lile jengo la zamani( Service center) ambalo CRDB Ilikua inalitumia mwanzo kabla ya kuhamia kwenye jengo jipya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom