ChatGPT AI asema Jamaa uenu hatoki

Ndio maana mahakama zingine hazifanyi maamuzi based on chatgpt, court dunian hawatumii hiyo kitu.

Hiyo tool tu, and lazima uelewe inaweza kua wrong au right, haiko right muda wote
Wengine hapa huwaga hawajui kinazungumzwa kitu gani wanakuja na matusi wanazani yanafundishwa.
 
wadhungu wajanja Sana kama walivyokataa kutupa muongozo juu ya utandawazi, Leo Tena wanatutupia AI Kisha tujiongeze wenyewe😭
 
Hivi ni lugha gani uliandika ukiwa umelewa ugoro mkuu?
 
kesho hatuijui, unadhani hata hao akina naniii haya wanayapenda.....
 
Nyie mwageni tu matusi Lakini kwa bangi hizi October jamaa atapiga kura akiwa mahabusu.
 
ChatGpt ( Mental wheelchair or Mental Ambulance ).
Kijana angalia Sana Kuna watu watakusaidia kuhcheza na spika.
 
Nyinyi vijana wa ccm wengi wenu ni wajinga mlokubuhu

Umeandika nini hapo?
 
Pumbavu kabisa wewe.
 
Mseng...kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…