Chatanda: Tundu Lissu lazima ang'oke!

huyu mama ni janga la kitaifa
 

Lissu ni zaidi ya MT EVEREST ukijaribu kuupanda basi safari yako itaishia njiani au kupotea kabisa kutokana na hali ya mlima ulivyo.
 
Lissu ni Mbunge wa Singida mashariki....Huyo chatanda ndye atapiga kura zitoshe kumtoa Tundu Lissu? Kama tu alishindwa kurejesha hata kata 1 tu Arusha , ataweza kwa Lissu?

Kanikumbusha kauli ya Mwenyekiti wa Simba huyu Aveva eti "Mimi nimeingia madarakani kuifunga yanga" sasa hivi timu inatoka suluhu tu kila mechi...

Amekuja moto Atarudi baridi..
 
Lisu siyo wa nguvu nyingi kumuondoa mwepesi sana wakati ukifika mtayaona.
 
By the way nguvu na kiburi cha huyu mama ilikua ni Lowassa kule Arusha. Lowassa hayuko Singida. Pia ikumbukwe wabunge wengi wa Chadema ni wabunge wa taifa zaidi kuliko majimbo. Watu wako tayari kusafiri kwenda Singida kulinda kura za lissu tu.
 

Chatanda kamshindwa Lema atamuweza wapi Lissu! Lema aliwanyayansa Chatanda na Lowasa kwenye uchaguzi wa ubunge Batilda akilia kama mtoto; zikafuata kata za Sokon 1;akawawasha; kisha zile 4 za madiwani waliofukuzwa kwa mpigo, Lema akawapiga brush 4 BILA! na baadae Sombetini akawapiga kwa kumpitisha kada wa zamani wa CCM Ally Bananga. Atafakari kauli zake kabla ya kuropoka!!
 

Mkuu,
Ukitaka kusifiwa na ma CCM basi tangaza vita na wale watu ambao ni threat kwa ma CCM
 
CCM wanawaza kutawala tu sio kutatua matatizo ya wananchi.

Ndio Maana kijana yeyote anaeshabikia CCM lazima nimchunguze anafaidika na nini kuishabikia CCM, nikiona hafaidiki kwa lolote namwonea huruma mno.
 

Amechemka Arusha ataweza Singida?
 
Mchambuzi, capacity yako ya Ku-reason inashabihiana sana na capacity ya Mh. Tundu Lisu. Comment zako hapa JF ni hazina kubwa kwa wanaozisoma kwa kushirikisha bongo zao.
 
Hujui kitu wewe, ramani ya tz huijui, geographia huijui, wala ramani ya tanzania hata mipaka ya utawala na siasa huijui unapaparika tu kama mtetea...mbunge wa iramba ni mwanamke anaitwa mwambu au tundu lissu naye siku hizi ni mdada?
wewe unaejua twambie hamsini kwa hamsini maana yake nini? kiserikali? kidini? kimila?kinini?
 
tangia lini lisu akawa mbunge wa iramba? ama kweli hizi bange zinatuharibia vijana wetu sana.

 
Huyu mama ndie aliye fanya Ccm Arusha ikataliwe na wana Arusha. Hivyo Singida inakwenda kuwa kama Arusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…