Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Akizungumza mbele ya Makamu Mwenyekiti John Heche, Mwenyekiti wa jumuiya ya wanafunzi wa CHADEMA vyuo na vyuo vikuu CHASO. Ameeleza kuwa Jumuiya ya wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu yaani TAHILISO imehodhiwa na CCM na badala yake imesahau majukumu yake ya msingi ya kuwasemea wanafunzi na hivyo imeanza kuipigia kampeni CCM.
CHASO imesema ipo tayari kuwasemea wanafunzi kama hao wengine wanaoanzisha vikundi vya mama asemewe
CHASO imesema ipo tayari kuwasemea wanafunzi kama hao wengine wanaoanzisha vikundi vya mama asemewe