Speculative wapi na generalization wapi?
Angalia isije kuwa wewe kusema generalization ndiyo generalization yenyewe na speculative hata maana yake hujui na huna utashi wa kujua.
Wanaoogopa nini?
Hujajibu.
Umeuliza swali vague, halafu unalalamika jibu speculative?
Mtu atakujibu vipi specific kama swali lako si specific?
Sasa wewe ndiye wa kumsemea? Uko mawazoni mwake?Kama hiyo ni sababu yake ya kustaafu ungetegemea aseme hivyo?
Omba mapema,hiyo sio sawa na nafasi ya mrugenzi wa vicobaaiseee...2019 unatangaza leo?nini maana ya haraka hiyo?
Tuko pamoja. Amefanya kazi na amekula, inatosha. awape wengine waendeleze gurudumu na mtazamo mpya.Tatizo lipo wapi!
Hapo ndio hua natofautiana hata na baadhi ya rafiki zangu kadhaa hapa kazini kwangu (nipo private sector), wao hudhani kwamba sheria za kodi ya PAYE wa serikalini na private hua ni tofauti, sheria ni hiyo hiyo tu hata ya kustaafu, wote ni miaka 60 kwa lazima na 55 hiyari.Hiyo ni private siyo government
Nani kamsemea? Unajua kusoma?Sasa wewe ndiye wa kumsemea? Uko mawazoni mwake?
Sheria gani hiyo inayolazimisha kustaafu private sector? Hebu tuoneshe source hapa.Hapo ndio hua natofautiana hata na baadhi ya rafiki zangu kadhaa hapa kazini kwangu (nipo private sector), wao hudhani kwamba sheria za kodi ya PAYE wa serikalini na private hua ni tofauti, sheria ni hiyo hiyo tu hata ya kustaafu, wote ni miaka 60 kwa lazima na 55 hiyari.
What's next? Utatakanikupe fingerprints za Dr. Kimei ili ujue kwamba yupokweli na si hadithi tu?Wewe ndiye uliyeanza kwa kutoa hoja vague. Hukusema ni lini na wapi Dr. Kimei alisema anamuogopa Magufuli na anamuogopa kwa lipi.
Ukinipatia chanzo itakuwa vizuri zaidi...What's next? Utatakanikupe fingerprints za Dr. Kimei ili ujue kwamba yupokweli na si hadithi tu?
Unafuatilia habari?
Umeshindwa kuniuliza nikupe source?
Wewe mwenyewe au ilikuwa unabashiri?Nani kamsemea? Unajua kusoma?
Kwanza omba radhi kwa kusema nimeleta habari vague wakati habari ipo kwenye public record na wewe tu ndiye hujaiona kwa sababu hufuatilii habari.Ukinipatia chanzo itakuwa vizuri zaidi...
Hata kumsemea unajua maana yake nini?Wewe mwenyewe au ilikuwa unabashiri?
Ingefaa ufahamu kwamba huwa kuna utaratibu wa muda wa resignation notice kwa kila rank/title hasa imezoeleka katika private sector.aiseee...2019 unatangaza leo?nini maana ya haraka hiyo?