Charles Hillary: Nimestaafu kwa Hiari

Charles Hillary: Nimestaafu kwa Hiari

kama ata base kwenye mambo ya mpira sawa ila akijiingiza kwenye vipindi vya siasa, mfano pale azam tv awe na kipindi kama kile cha steven sucker cha hard talk, ndio kwa heli, kwani siasa za bongo bwana ni shida, na hiyo sheria yao mpya ya mawasiliano inayokuja!! yasije yakawa kama ya tido, eti mzee makamba anasema tido hana elimu na hata hivyo vyeti vyake ni vya mashaka mashaka.
 
Back
Top Bottom