Thubutu yao, wachumia tumbo wale wawe na ubavu wa kufanana na T-bag!!Hahahaha namfananisha na Pole Pole na Bashiru kwa siasa za bongo
Kama ni siasa za CCM si bora tuseme JK manake ndo mwenye siasa za ku-double-cross wenzake!! JK ndie ambae unaweza kufanya nae michezo hatari lakini ukajikuta unazama peke yako!!
Unajua T-bag ni genius kishenzi, sema u-genius wenyewe ulidondokea kwa mhalifu!!
Unajua hata Michael alikuwa anamchukia zaidi T-Bag kuliko mtu mwingine yeyote yule, mosi, kwavile uhalifu wa T-bag ni wa kishenzi zaidi lakini pili, Michael ni mtu wa double-crossing sana, taaluma ambayo T-bag alikuwa amefuzu!!
Matojkeo yake, mara nyingi Michael akijaribu kum-double-cross T-bag, unakuta mwamba alishanusa mchezo kitambo!!