Chapombee

Joined
Apr 24, 2012
Posts
12
Reaction score
1
chapombe mmoja alianguka karibu na TBL na kuzimia papo hapo,mara watu wakajaa na kuanza kujadili namna ya kumsaidia,jamaa mmoja akaagiza maji yaletwe amwagiwe ili fahamu zmrudie!gafla chapombe akanyanyua shingo akasema ''acheni use#*n kama ningekuwa nataka maji si ningeenda kuzimia dawasa''
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…