Chanzo na tiba ya mafua yasiyoisha kwa watoto

mzeemzima

Senior Member
Apr 14, 2010
122
78
Wadau habari zenu,
Naomba kujuzwa chanzo na tiba ya mafua yasiyoisha kwa mtoto mdogo, nina mtoto ambaye karibia wakati wote ana mafua na wakati mwingine kikohozi tumejaribu dawa nyingi sana za hospitalini na hata za miti na matunda lakini hakuna matokeo mazuri kabisa.

Naomba msaada wenu.

Asanteni
 
Allegy hiyo Mkuu Badilisha nguo anazolalia na chumba au manukato mnayotumia..............
 
Wakati unaanza kumpa dawa za hospital ulifanya vipimo? Kama hapana kafanye vipimo kwanza halafu ndio utapatiwa tiba yake
 
Wakati unaanza kumpa dawa za hospital ulifanya vipimo? Kama hapana kafanye vipimo kwanza halafu ndio utapatiwa tiba yake
alipimwa miaka kama miwili iliyopita ikaonekana ana allergy ya vumbi la ndani na samaki , vitu vyote hivyo tunajitahidi kwa uwezo wetu viwe mbali naye lakini bado hali ndiyo hiyo.
 
alipimwa miaka kama miwili iliyopita ikaonekana ana allergy ya vumbi la ndani na samaki , vitu vyote hivyo tunajitahidi kwa uwezo wetu viwe mbali naye lakini bado hali ndiyo hiyo.
Rudi tena hospital ukabadilishiwe tiba
 
Wadau habari zenu,
Naomba kujuzwa chanzo na tiba ya mafua yasiyoisha kwa mtoto mdogo, nina mtoto ambaye karibia wakati wote ana mafua na wakati mwingine kikohozi tumejaribu dawa nyingi sana za hospitalini na hata za miti na matunda lakini hakuna matokeo mazuri kabisa.

Naomba msaada wenu.

Asanteni
Umri Wa mtoto plz,,elezea mazingira yako unayoyaishi na mototo
 
Jaribu na kwa waganga kuna mtoto wa jirani alikuwa anaumwa mafua na kikoozi kisicho isha, akaenda kutolewa vitu vya ajabu ndani ya mwili wake na kurudi katika hali yake ya kawaida

Ni maoni yangu
 
Wadau habari zenu,
Naomba kujuzwa chanzo na tiba ya mafua yasiyoisha kwa mtoto mdogo, nina mtoto ambaye karibia wakati wote ana mafua na wakati mwingine kikohozi tumejaribu dawa nyingi sana za hospitalini na hata za miti na matunda lakini hakuna matokeo mazuri kabisa.

Naomba msaada wenu.

Asanteni
Ushauri uliopatiwa ikiwa bado hajapona mwanao nitafute nipate kumtibia apate kupona. Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
Wadau habari zenu,
Naomba kujuzwa chanzo na tiba ya mafua yasiyoisha kwa mtoto mdogo, nina mtoto ambaye karibia wakati wote ana mafua na wakati mwingine kikohozi tumejaribu dawa nyingi sana za hospitalini na hata za miti na matunda lakini hakuna matokeo mazuri kabisa.

Naomba msaada wenu.

Asanteni
Mkuu habari yako, naomba tuwasiliane ,kama ulifanikiwa kwenye hili jambo nami unipe msaada ,changamoto sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom