Uncle Araali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 944
- 1,257
Wakuu,
Nimekuwa na changamoto ya kupiga chafya na kuwa na mafua makali kila asubuhi. Nimetumia dawa zote za mafua lakini hazitibu bali zinapoza tu tatizo.
Naomba kujuzwa chanzo cha mzio huo na namna ninavyoweza kupona tatizo hilo.
Natanguliza shukrani.
Nimekuwa na changamoto ya kupiga chafya na kuwa na mafua makali kila asubuhi. Nimetumia dawa zote za mafua lakini hazitibu bali zinapoza tu tatizo.
Naomba kujuzwa chanzo cha mzio huo na namna ninavyoweza kupona tatizo hilo.
Natanguliza shukrani.