Nilisoma mahali kuwa Tanga ilimaanisha bahari na nyika nchi kavu kubwa nyuma ya bahari I.e. hinterland. Kwa hiyo Tanganyika ilimaanisha nchi yenye bahari kubwa na Ardhi kubwa nyuma yake .
Bora Tungeitwa Victoria ama Kilimanjaro... haya majina yana Mvuto flani wa fikra za kimaendeleo.... tanganyika limekaa.. yaani..dah.. yaani haielezeki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.