Chanzo cha Watanzania kufukuzwa Msumbiji ni utawala wa Awamu ya 5?

makoye2009

JF-Expert Member
Jun 12, 2009
2,638
1,218
Watanzania tufikie mahali tuambizane ukweli ili tupone.
Hakuna aliyetegemea kuwa kuna siku Watanzania wenzetu wanaoishi huko Msumbizi wangelifurushwa bila huduma kwa kisingizio cha kuingia kinyume cha sherianchini! Kuna Watanzania wamefukuzwa na wameishi huko tangu Msumbiji ipate Uhuru mnamo mwaka 1975 tarehe 25 June chini ya Uongozi wa Mwanamapinduzi Camarada Samora Moises Machel.

Ijulikane kwamba Uhuru wa Msumbiji usingewezekana bila ya Tanzania kuingilia kati chini ya Uongozi thabiti wa Baba wa Taifa Marehemu Baba wa Taifa, Mwl. J.K. Nyerere. Baada ya Uhuru urafiki wa Tanzania na Msumbiji uliitwa ni Urafiki na Udugu wa DAMU. Baba wa Taifa kwenye hotuba ya Uhuru wa Msumbiji aliweka wazi kuwa kuna Watanzania askari na raia walikufa kwa kuipigania Msumbiji. Watanzania maelfu kwa mamilioni walikuwa wanajitolea mpaka Damu ili ipelekwe kwenye Mapambano dhidi ya Majeshi ya Wareno wakisaidiwa na Jeshi la Makaburu wa Afrika Kusini.

Unaweza kusema leo Wana Msumbiji wamesahau wema na fadhila zilizofanywa na Watanzania chini ya Uongozi wa Baba wa Taifa. Swali linakuja kwani sasa? Tumekuwa na awamu 4 zote zilizopita hatukuwahi kusikia upuuzi huu wa Wanamsumbiji isipokuwa Awamu hii ya Tano ya Mhe. sana John Pombe Magufuli. Kwanini Awamu ya 5 na siiwe awamu zilizopita??Hapa iko shida!!!

Shida yenyewe ni Mkuu wa Kaya. Tangu ameingia Ikulu mkuu wa kaya hahagaiki na Maswala ya nchi za kigeni kwa maana ya majirani zaidi ya Kenya, Uganda, Rwanda na Ethipia. Lakini pia Mkulu bado hajawahi kukanyaga nchi hata moja iwe ya Ulaya, Asia wala Marekani. Hili Kidiplomasia ya Kimataifa ni tatizo kubwa na linaweza kusababisha madhara makubwa kiuchumi, Kisiasa na Kijamii. Sina hakika kama hapo Msumbiji wana fahamu Rais wa Nchi iliyowasaidia kujikomboa anaitwa nani.

Mkuu wetu JPM yuko bize na Wapinzani tu. Kila siku ni kuagiza Mapolisi wawakamate wapinzani na kuwatia ndani pasipo na dhamana. Hata hii longolongo ya Makonda ya kudai kupambana na Madawa ya kulevya ni kchaka tu cha kujificha lakini walengwa wakubwa ni WAPINZANI. Nchi paka sasa hivi Uchumi umetetereka, Nchi haina chakula, Miradi ya maendeleo imesimama kwa vile Bajeti ya 2016/7 ya 21.9 Trilioni haitekelezeki. Bunge jlililoshia jniuzi wamesema ni asilimia kama 20(20%) imeweza kutekelezeka na mwaka unaishia Mei. Mkulu anaendelea na wimbo wake wa Hapa Kazi Tu huku akilazimisha Kuinyoosha nchi bila ya kufuata Katiba na Sheria!!!

Ni wakati sasa kwa JPM kutafakari na kubadilisha mwelekeo wa kisiasa kuanzia ndani nchi na nje ya Nchi ili kuondoa matatizo yanayoendelea kulikumba Taifa letu. Bila ya kufanya hivo Tanzania itaendelea kushuhudia Janga mojabaada ya Jingine. Biblia Takatifu imesema Mithali:''
"USIONDOE ALAMA YA MIPAKA YA ZAMANI ILIYOWEKWA NA WAZEE WAKO''
Mithali 22:28.

Rais Magufuli ameamua kungoa alama za mipaka yote ya zamani iliyoachwa na Wazee wetu kina Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa na Kikwete. Tunaelekea wapi?
 
Wee mpuuzi kweli........Sasa heading yako mbna haiendani na ulichoandika.......Wakati mwingne ebu tafuteni kazi za kufanya......Hii kila siku MAGUFULI midomoni mwenu itawaathiri sana maisha yenu.....na ndio kwanza ni mwaka mmoja......
 
Watanzania tufikie mahali tuambizane ukweli ili tupone.
Hakuna aliyetegemea kuwa kuna siku Watanzania wenzetu wanaoishi huko Msumbizi wangelifurushwa bila huduma kwa kisingizio cha kuingia kinyume cha sherianchini! Kuna Watanzania wamefukuzwa na wameishi huko tangu Msumbiji ipate Uhuru mnamo mwaka 1975 tarehe 25 June chini ya Uongozi wa Mwanamapinduzi Camarada Samora Moises Machel.

Ijulikane kwamba Uhuru wa Msumbiji usingewezekana bila ya Tanzania kuingilia kati chini ya Uongozi thabiti wa Baba wa Taifa Marehemu Baba wa Taifa, Mwl. J.K. Nyerere. Baada ya Uhuru urafiki wa Tanzania na Msumbiji uliitwa ni Urafiki na Udugu wa DAMU. Baba wa Taifa kwenye hotuba ya Uhuru wa Msumbiji aliweka wazi kuwa kuna Watanzania askari na raia walikufa kwa kuipigania Msumbiji. Watanzania maelfu kwa mamilioni walikuwa wanajitolea mpaka Damu ili ipelekwe kwenye Mapambano dhidi ya Majeshi ya Wareno wakisaidiwa na Jeshi la Makaburu wa Afrika Kusini.

Unaweza kusema leo Wana Msumbiji wamesahau wema na fadhila zilizofanywa na Watanzania chini ya Uongozi wa Baba wa Taifa. Swali linakuja kwani sasa? Tumekuwa na awamu 4 zote zilizopita hatukuwahi kusikia upuuzi huu wa Wanamsumbiji isipokuwa Awamu hii ya Tano ya Mhe. sana John Pombe Magufuli. Kwanini Awamu ya 5 na siiwe awamu zilizopita??Hapa iko shida!!!

Shida yenyewe ni Mkuu wa Kaya. Tangu ameingia Ikulu mkuu wa kaya hahagaiki na Maswala ya nchi za kigeni kwa maana ya majirani zaidi ya Kenya, Uganda, Rwanda na Ethipia. Lakini pia Mkulu bado hajawahi kukanyaga nchi hata moja iwe ya Ulaya, Asia wala Marekani. Hili Kidiplomasia ya Kimataifa ni tatizo kubwa na linaweza kusababisha madhara makubwa kiuchumi, Kisiasa na Kijamii. Sina hakika kama hapo Msumbiji wana fahamu Rais wa Nchi iliyowasaidia kujikomboa anaitwa nani.

Mkuu wetu JPM yuko bize na Wapinzani tu. Kila siku ni kuagiza Mapolisi wawakamate wapinzani na kuwatia ndani pasipo na dhamana. Hata hii longolongo ya Makonda ya kudai kupambana na Madawa ya kulevya ni kchaka tu cha kujificha lakini walengwa wakubwa ni WAPINZANI. Nchi paka sasa hivi Uchumi umetetereka, Nchi haina chakula, Miradi ya maendeleo imesimama kwa vile Bajeti ya 2016/7 ya 21.9 Trilioni haitekelezeki. Bunge jlililoshia jniuzi wamesema ni asilimia kama 20(20%) imeweza kutekelezeka na mwaka unaishia Mei. Mkulu anaendelea na wimbo wake wa Hapa Kazi Tu huku akilazimisha Kuinyoosha nchi bila ya kufuata Katiba na Sheria!!!

Ni wakati sasa kwa JPM kutafakari na kubadilisha mwelekeo wa kisiasa kuanzia ndani nchi na nje ya Nchi ili kuondoa matatizo yanayoendelea kulikumba Taifa letu. Bila ya kufanya hivo Tanzania itaendelea kushuhudia Janga mojabaada ya Jingine. Biblia Takatifu imesema Mithali:''
"USIONDOE ALAMA YA MIPAKA YA ZAMANI ILIYOWEKWA NA WAZEE WAKO''
Mithali 22:28.

Rais Magufuli ameamua kungoa alama za mipaka yote ya zamani iliyoachwa na Wazee wetu kina Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa na Kikwete. Tunaelekea wapi?

Hilo nalo neno. tuanze kujiuliza maswali ya msingi. hebu niambie mkuu, hivi kuna kitu tumewafanyika hawa wa Msumbiji? maana na mimi naona lazima iwepo sababu
 
Watanzania tufikie mahali tuambizane ukweli ili tupone.
Hakuna aliyetegemea kuwa kuna siku Watanzania wenzetu wanaoishi huko Msumbizi wangelifurushwa bila huduma kwa kisingizio cha kuingia kinyume cha sherianchini! Kuna Watanzania wamefukuzwa na wameishi huko tangu Msumbiji ipate Uhuru mnamo mwaka 1975 tarehe 25 June chini ya Uongozi wa Mwanamapinduzi Camarada Samora Moises Machel.

Ijulikane kwamba Uhuru wa Msumbiji usingewezekana bila ya Tanzania kuingilia kati chini ya Uongozi thabiti wa Baba wa Taifa Marehemu Baba wa Taifa, Mwl. J.K. Nyerere. Baada ya Uhuru urafiki wa Tanzania na Msumbiji uliitwa ni Urafiki na Udugu wa DAMU. Baba wa Taifa kwenye hotuba ya Uhuru wa Msumbiji aliweka wazi kuwa kuna Watanzania askari na raia walikufa kwa kuipigania Msumbiji. Watanzania maelfu kwa mamilioni walikuwa wanajitolea mpaka Damu ili ipelekwe kwenye Mapambano dhidi ya Majeshi ya Wareno wakisaidiwa na Jeshi la Makaburu wa Afrika Kusini.

Unaweza kusema leo Wana Msumbiji wamesahau wema na fadhila zilizofanywa na Watanzania chini ya Uongozi wa Baba wa Taifa. Swali linakuja kwani sasa? Tumekuwa na awamu 4 zote zilizopita hatukuwahi kusikia upuuzi huu wa Wanamsumbiji isipokuwa Awamu hii ya Tano ya Mhe. sana John Pombe Magufuli. Kwanini Awamu ya 5 na siiwe awamu zilizopita??Hapa iko shida!!!

Shida yenyewe ni Mkuu wa Kaya. Tangu ameingia Ikulu mkuu wa kaya hahagaiki na Maswala ya nchi za kigeni kwa maana ya majirani zaidi ya Kenya, Uganda, Rwanda na Ethipia. Lakini pia Mkulu bado hajawahi kukanyaga nchi hata moja iwe ya Ulaya, Asia wala Marekani. Hili Kidiplomasia ya Kimataifa ni tatizo kubwa na linaweza kusababisha madhara makubwa kiuchumi, Kisiasa na Kijamii. Sina hakika kama hapo Msumbiji wana fahamu Rais wa Nchi iliyowasaidia kujikomboa anaitwa nani.

Mkuu wetu JPM yuko bize na Wapinzani tu. Kila siku ni kuagiza Mapolisi wawakamate wapinzani na kuwatia ndani pasipo na dhamana. Hata hii longolongo ya Makonda ya kudai kupambana na Madawa ya kulevya ni kchaka tu cha kujificha lakini walengwa wakubwa ni WAPINZANI. Nchi paka sasa hivi Uchumi umetetereka, Nchi haina chakula, Miradi ya maendeleo imesimama kwa vile Bajeti ya 2016/7 ya 21.9 Trilioni haitekelezeki. Bunge jlililoshia jniuzi wamesema ni asilimia kama 20(20%) imeweza kutekelezeka na mwaka unaishia Mei. Mkulu anaendelea na wimbo wake wa Hapa Kazi Tu huku akilazimisha Kuinyoosha nchi bila ya kufuata Katiba na Sheria!!!

Ni wakati sasa kwa JPM kutafakari na kubadilisha mwelekeo wa kisiasa kuanzia ndani nchi na nje ya Nchi ili kuondoa matatizo yanayoendelea kulikumba Taifa letu. Bila ya kufanya hivo Tanzania itaendelea kushuhudia Janga mojabaada ya Jingine. Biblia Takatifu imesema Mithali:''
"USIONDOE ALAMA YA MIPAKA YA ZAMANI ILIYOWEKWA NA WAZEE WAKO''
Mithali 22:28.

Rais Magufuli ameamua kungoa alama za mipaka yote ya zamani iliyoachwa na Wazee wetu kina Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa na Kikwete. Tunaelekea wapi?

Kama wenzetu wamefukuzwa kisa raisi wangu hatembelei nchi zao basi warudi tu; watu mlilalamika sana kuwa Kikwete alkuwa hakai na anashinda angani;leo tena mnaleta ujinga hapa ;kwani raisi tulimchagua ili asafiri kwenda nje? Hoja za kijinga kabisa.
 
Wee mpuuzi kweli........Sasa heading yako mbna haiendani na ulichoandika.......Wakati mwingne ebu tafuteni kazi za kufanya......Hii kila siku MAGUFULI midomoni mwenu itawaathiri sana maisha yenu.....na ndio kwanza ni mwaka mmoja......





Yawezekana wewe ndiyo ukawa mpuuzi,mbona umepaniki kwa hoja hii iliyomgusa huyo mtu wako?Kama unadhani watu wanalitaja sana jina la huyo mtu wako unajidanganya,kwa lugha yangu ya kibantu hilo jina lina maana ya tusi kubwa sana kiasi ambacho siwezi kulitaja hilo jina bila kuwa na sababu za msingi.

Mtoa hoja ametoa Maelezo yake ili kuijenga hoja yake,mpinge kwa hoja na si vihoja.
 
Binafsi naona uzi ungekua una maana sana kama ungeonesha kua kuna mikataba tunayo na Msumbiji lakini uongozi huu umeitelekeza hiyo mikataba na kupelekea hasara kwa Msumbiji.
Au tulikua tuna kitu kinatupa faida sisi na Msumbiji lakini sasa hivi hiko kitu tumewanyang'anya Msumbiji na tumekua wachoyo ghafla.

Ila eti kisa Raisi hajaingia nchini kwako ndiyo unaamua kufukuza wananchi wake? Kwani alipoingia amefunga ubalozi wa huko? Mbona nyuzi nyingine ni za ajabu ajabu? Au mimi ndiyo wa ajabu?
 
utamaduni wa ccm uko wazi kuwa moja ya sifa za mgombea wao lazima awe na uzoefu na mambo ya kigeni,sasa huyu alikuwa hajawahi kwenda hata zanzibar ataweza wapi mambo ya msumbiji,kwa ufupi diplomasia F,na laiti kama ule uchokozi wa rwanda na malawi enzi za kikwete ingekuwa ni utawala huu angepeleka nchi vitani
 
Watanzania tufikie mahali tuambizane ukweli ili tupone.
Hakuna aliyetegemea kuwa kuna siku Watanzania wenzetu wanaoishi huko Msumbizi wangelifurushwa bila huduma kwa kisingizio cha kuingia kinyume cha sherianchini! Kuna Watanzania wamefukuzwa na wameishi huko tangu Msumbiji ipate Uhuru mnamo mwaka 1975 tarehe 25 June chini ya Uongozi wa Mwanamapinduzi Camarada Samora Moises Machel.

Ijulikane kwamba Uhuru wa Msumbiji usingewezekana bila ya Tanzania kuingilia kati chini ya Uongozi thabiti wa Baba wa Taifa Marehemu Baba wa Taifa, Mwl. J.K. Nyerere. Baada ya Uhuru urafiki wa Tanzania na Msumbiji uliitwa ni Urafiki na Udugu wa DAMU. Baba wa Taifa kwenye hotuba ya Uhuru wa Msumbiji aliweka wazi kuwa kuna Watanzania askari na raia walikufa kwa kuipigania Msumbiji. Watanzania maelfu kwa mamilioni walikuwa wanajitolea mpaka Damu ili ipelekwe kwenye Mapambano dhidi ya Majeshi ya Wareno wakisaidiwa na Jeshi la Makaburu wa Afrika Kusini.

Unaweza kusema leo Wana Msumbiji wamesahau wema na fadhila zilizofanywa na Watanzania chini ya Uongozi wa Baba wa Taifa. Swali linakuja kwani sasa? Tumekuwa na awamu 4 zote zilizopita hatukuwahi kusikia upuuzi huu wa Wanamsumbiji isipokuwa Awamu hii ya Tano ya Mhe. sana John Pombe Magufuli. Kwanini Awamu ya 5 na siiwe awamu zilizopita??Hapa iko shida!!!

Shida yenyewe ni Mkuu wa Kaya. Tangu ameingia Ikulu mkuu wa kaya hahagaiki na Maswala ya nchi za kigeni kwa maana ya majirani zaidi ya Kenya, Uganda, Rwanda na Ethipia. Lakini pia Mkulu bado hajawahi kukanyaga nchi hata moja iwe ya Ulaya, Asia wala Marekani. Hili Kidiplomasia ya Kimataifa ni tatizo kubwa na linaweza kusababisha madhara makubwa kiuchumi, Kisiasa na Kijamii. Sina hakika kama hapo Msumbiji wana fahamu Rais wa Nchi iliyowasaidia kujikomboa anaitwa nani.

Mkuu wetu JPM yuko bize na Wapinzani tu. Kila siku ni kuagiza Mapolisi wawakamate wapinzani na kuwatia ndani pasipo na dhamana. Hata hii longolongo ya Makonda ya kudai kupambana na Madawa ya kulevya ni kchaka tu cha kujificha lakini walengwa wakubwa ni WAPINZANI. Nchi paka sasa hivi Uchumi umetetereka, Nchi haina chakula, Miradi ya maendeleo imesimama kwa vile Bajeti ya 2016/7 ya 21.9 Trilioni haitekelezeki. Bunge jlililoshia jniuzi wamesema ni asilimia kama 20(20%) imeweza kutekelezeka na mwaka unaishia Mei. Mkulu anaendelea na wimbo wake wa Hapa Kazi Tu huku akilazimisha Kuinyoosha nchi bila ya kufuata Katiba na Sheria!!!

Ni wakati sasa kwa JPM kutafakari na kubadilisha mwelekeo wa kisiasa kuanzia ndani nchi na nje ya Nchi ili kuondoa matatizo yanayoendelea kulikumba Taifa letu. Bila ya kufanya hivo Tanzania itaendelea kushuhudia Janga mojabaada ya Jingine. Biblia Takatifu imesema Mithali:''
"USIONDOE ALAMA YA MIPAKA YA ZAMANI ILIYOWEKWA NA WAZEE WAKO''
Mithali 22:28.

Rais Magufuli ameamua kungoa alama za mipaka yote ya zamani iliyoachwa na Wazee wetu kina Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa na Kikwete. Tunaelekea wapi?
Watanzania tufikie mahali tuambizane ukweli ili tupone.
Hakuna aliyetegemea kuwa kuna siku Watanzania wenzetu wanaoishi huko Msumbizi wangelifurushwa bila huduma kwa kisingizio cha kuingia kinyume cha sherianchini! Kuna Watanzania wamefukuzwa na wameishi huko tangu Msumbiji ipate Uhuru mnamo mwaka 1975 tarehe 25 June chini ya Uongozi wa Mwanamapinduzi Camarada Samora Moises Machel.

Ijulikane kwamba Uhuru wa Msumbiji usingewezekana bila ya Tanzania kuingilia kati chini ya Uongozi thabiti wa Baba wa Taifa Marehemu Baba wa Taifa, Mwl. J.K. Nyerere. Baada ya Uhuru urafiki wa Tanzania na Msumbiji uliitwa ni Urafiki na Udugu wa DAMU. Baba wa Taifa kwenye hotuba ya Uhuru wa Msumbiji aliweka wazi kuwa kuna Watanzania askari na raia walikufa kwa kuipigania Msumbiji. Watanzania maelfu kwa mamilioni walikuwa wanajitolea mpaka Damu ili ipelekwe kwenye Mapambano dhidi ya Majeshi ya Wareno wakisaidiwa na Jeshi la Makaburu wa Afrika Kusini.

Unaweza kusema leo Wana Msumbiji wamesahau wema na fadhila zilizofanywa na Watanzania chini ya Uongozi wa Baba wa Taifa. Swali linakuja kwani sasa? Tumekuwa na awamu 4 zote zilizopita hatukuwahi kusikia upuuzi huu wa Wanamsumbiji isipokuwa Awamu hii ya Tano ya Mhe. sana John Pombe Magufuli. Kwanini Awamu ya 5 na siiwe awamu zilizopita??Hapa iko shida!!!

Shida yenyewe ni Mkuu wa Kaya. Tangu ameingia Ikulu mkuu wa kaya hahagaiki na Maswala ya nchi za kigeni kwa maana ya majirani zaidi ya Kenya, Uganda, Rwanda na Ethipia. Lakini pia Mkulu bado hajawahi kukanyaga nchi hata moja iwe ya Ulaya, Asia wala Marekani. Hili Kidiplomasia ya Kimataifa ni tatizo kubwa na linaweza kusababisha madhara makubwa kiuchumi, Kisiasa na Kijamii. Sina hakika kama hapo Msumbiji wana fahamu Rais wa Nchi iliyowasaidia kujikomboa anaitwa nani.

Mkuu wetu JPM yuko bize na Wapinzani tu. Kila siku ni kuagiza Mapolisi wawakamate wapinzani na kuwatia ndani pasipo na dhamana. Hata hii longolongo ya Makonda ya kudai kupambana na Madawa ya kulevya ni kchaka tu cha kujificha lakini walengwa wakubwa ni WAPINZANI. Nchi paka sasa hivi Uchumi umetetereka, Nchi haina chakula, Miradi ya maendeleo imesimama kwa vile Bajeti ya 2016/7 ya 21.9 Trilioni haitekelezeki. Bunge jlililoshia jniuzi wamesema ni asilimia kama 20(20%) imeweza kutekelezeka na mwaka unaishia Mei. Mkulu anaendelea na wimbo wake wa Hapa Kazi Tu huku akilazimisha Kuinyoosha nchi bila ya kufuata Katiba na Sheria!!!

Ni wakati sasa kwa JPM kutafakari na kubadilisha mwelekeo wa kisiasa kuanzia ndani nchi na nje ya Nchi ili kuondoa matatizo yanayoendelea kulikumba Taifa letu. Bila ya kufanya hivo Tanzania itaendelea kushuhudia Janga mojabaada ya Jingine. Biblia Takatifu imesema Mithali:''
"USIONDOE ALAMA YA MIPAKA YA ZAMANI ILIYOWEKWA NA WAZEE WAKO''
Mithali 22:28.

Rais Magufuli ameamua kungoa alama za mipaka yote ya zamani iliyoachwa na Wazee wetu kina Nyerere, Karume, Mwinyi, Mkapa na Kikwete. Tunaelekea wapi?

NIMEWAHI KUKUTANA NA WATU WAJINGA LAKINI WEWE NI WA PEKEE, KAMA HUNA CHA KUANDIKA BORA KAJISAIDIE ULALE, BULLSHIT
 
Back
Top Bottom