CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Wee mpuuzi kweli........Sasa heading yako mbna haiendani na ulichoandika.......Wakati mwingne ebu tafuteni kazi za kufanya......Hii kila siku MAGUFULI midomoni mwenu itawaathiri sana maisha yenu.....na ndio kwanza ni mwaka mmoja......
Wapuuzi ni waliozaa Kibstec! Kuna shida gani kumjibu bila kumuita mpuuzi? Huyu Rais ni baba yako, ni kuwa hujitambui tu